MAHAFARI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA KIISLAMU CHA MOROGORO(MUM) YAFANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TZ23AO8E7KM/VklT40q8Z3I/AAAAAAAIF_0/MxPGAXOpVIc/s72-c/IMG_4277.jpg)
CHUO Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimesherehekea miaka kumi (10) tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005, (2005 - 2015). Maadhimisho hayo yameenda sambamba na mahafari ya Nane katika chuo hicho(2008 - 2015) mahafari yaliyofanyika katika chuo hicho Novemba 14,2015.
Mahafali hayo yalihudhuriwa na Mgeni rasmi, Profesa Dkt. Fadzil Adam, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislam cha Morogoro na mtafiti wa chuo kikuu cha Zanzibar (SZA),wa Nchini Malaysia Kuala Teregganu, Mkuu wa chuo hicho Hajjat Mwantum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yoxb_aT2G2g/U_CZS74XDhI/AAAAAAAGALQ/1H1BN-u3tQI/s72-c/504.jpg)
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar mgeni rasmi kwenye hafla ya kuwaaga wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro
Mama Asha Suleiman Iddi alisema hayo wakati wa hafla maalum ya kuagana kwa wana jumuiya ya wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro wa ZAMUMSA ambao wanatarajiwa kumaliza mafunzo yao mwezi Novemba mwaka huu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s72-c/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s1600/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhFLeolf9sM/VIRZU27nLGI/AAAAAAAA-ng/hywKAl8CAAY/s1600/MGENI%2BRASMI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf6rqYv4Pdo/VIRZUn4RaxI/AAAAAAAA-nY/QmoC9lkndoU/s1600/MKUU%2BWA%2BSKULI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5t-DEMmAVw/VIRZYEOJ5yI/AAAAAAAA-nw/SS7KNrcdkNg/s1600/KIAPO%2BCHA%2BWAUGUZI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NlwzCpL50-Q/VHt6rS4xlEI/AAAAAAAG0aM/c_z8YcAH5G0/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Mahfali ya 26 ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania yafana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania { CKHT } katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na shughuli zao za kazi,ajira binafsi au kifamilia kama kawaida. Alisema wakati chuo hicho cha umma kinapotoa nafasi nzuri zaidi kwa Watanzania kupanua wigo wao wa elimu ya juu ni vizuri kwa wananchi kuitumia nafasi hiyo mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s72-c/HUNDI.jpg)
Mahafali ya tano ya chuo kikuu cha St. John's mjini Dodoma yafana sana leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s1600/HUNDI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aloSPf7LvDY/VIRZZx-wdiI/AAAAAAAA-n4/tNZhcR6xau8/s1600/WAHITIM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S7ZOH3sdfXc/VIRZbmTb1aI/AAAAAAAA-oA/B6OBbXlA4v4/s1600/WAHTM.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94tGk6KE4gM/VIRZb7nRsLI/AAAAAAAA-oE/xLr6U6BXT3U/s1600/WAHITIMU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hVwjZdXVIqo/VIRZelKPiVI/AAAAAAAA-og/fIBB0YLc_LU/s1600/WAAAANDAISHI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s72-c/mg13.jpg)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s1600/mg13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXNe70ICexs/U_xB0HD75aI/AAAAAAAGCbs/TsXC_VSlJfM/s1600/mg8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-007YSGZLLSc/U_xB0R8FhnI/AAAAAAAGCbw/DqLUP56i3dw/s1600/mg9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u0Eb4l7A4EU8EI0SBbihfV5pxYSP4o55bjvOBkBqht05TYaWYxcmL10*seRx9XPTsQF48av4dLEgM5HE7U97XzSZb7WIFjCW/mg7.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NXeuuE2-eag/VIjzF1gwMtI/AAAAAAADRSU/UE_BA_XLI-8/s72-c/Dorothy%2B9.jpg)
DOREEN PAMBE AKAMATA NONDOZ YA SHERIA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NXeuuE2-eag/VIjzF1gwMtI/AAAAAAADRSU/UE_BA_XLI-8/s1600/Dorothy%2B9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vzf1jCqAS7U/VIjy_I2SzsI/AAAAAAADRR8/q2QN2DeJWr8/s1600/Dorothy%2B8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-06QEkrREboc/VIjzIlEsFDI/AAAAAAADRSk/yqyBD7eJ2-I/s1600/dorothy%2B5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IqWGD5zMGZk/VIjy__jD5UI/AAAAAAADRSE/RzMRpoaFt20/s1600/Dorothy%2B7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X3qdtWFq4Tc/VIjzA3QSK5I/AAAAAAADRSM/8mgUBGm8v1Y/s1600/Dorothy%2B6.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jqor6Sfkefg/VF8oAfpiGqI/AAAAAAAGwHM/2Ot-geqYijU/s72-c/MMGL0078.jpg)
Wadau walamba Nondozz katika Mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-jqor6Sfkefg/VF8oAfpiGqI/AAAAAAAGwHM/2Ot-geqYijU/s1600/MMGL0078.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CY6PWxWJ9CM/VF8oEOLE3LI/AAAAAAAGwHU/gR2qftSsP_E/s1600/MMGM0027.jpg)
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Viongozi wa Chuo cha Kiislamu cha Imam Swadiq watoa salamu za Krismas
Sheikh Hemed Jalala akiongea na waandhishi wa habari (hawapo pichani).
Sheikh Hemed Jalala akisisitiza jambo.
Waandishi wa habari wakichukua matukio.
Viongozi wa Chuo cha Kiislam cha Imam Swadiq, watoa salamu za pongezi kwa Wakristo katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas.
Sheikh Hemed Jalala alisema: “Wakristo ni ndugu zetu kwa msingi mkuu wa ubinadamu, hivyo umoja wa kijamii na kitaifa unaunganishwa na ubinadamu na si itikadi.”
(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha)