Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau walamba Nondozz katika Mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro

 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MuM),Hajjat Mwantum Malale akiongoza mahafali ya saba ya Chuo Kikuu hicho cha Waislam yaliyofanyika jana Novemba 8,2014 katika viwanja vya Chuo hicho.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Baraza la Shule Chuo hicho,Prof. Mussa Assad. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MuM),Prof. Hamza Mustafa Njozi (wa pili kulia) akisoma hotuba yake na baadae kuwakaribisha wakuu wa vitivo kuja kuwaorodhesha wahitimu wao wanaostakihi kutunukiwa Shahada...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wadau walamba Nondozz zao katika Chuo cha IFM jijini Dar

Wadau wa Globu ya Jamii wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kulamba Nondooz zao za Banking and Finance katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar es Salaam hivi juzi.Pichani toka Husna,Hamisa,Julliez,Evamary.Updesh,Miriam na Lydia waki na nyuso za furaha kabisa.Wadau Julliez na Mirium Wakifurahia baada ya kupata nondoz zao.

 

9 years ago

Michuzi

Mdau Lusekelo Ambokile alamba nondozz katika Chuo Kikuu cha Middlesex, UK

 Mdau Lusekelo Ambokile akionekana ni mwenye furaha sana mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Dada zake mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Mama yake mzazi.

 

10 years ago

Michuzi

Binti wa Ankal alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Dodoma leo

Binti wa Ankal,Bi. Zahra Muhidin Michuzi akiwa kwenye pozi la picha mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA EC katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo hicho.
Binti wa Ankal,Bi. Zahra Muhidin Michuzi akiendelea kujiachia mbele ya Kamera.Bi Zahra akiendelea kupata taswira mbali mbali.Kwa raha zake Binti Ankal.Pozi la Selfie na mdogo wake.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

wadau hassan na Emmanuel walamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe

Wadau wakipozi  Hassan  Kindole (kulia) na Emmanuel Gasper    baada ya kula nondozzzz zao katika mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro Ijumaa. Wadau wamelamba nomndozzz za  shahada ya menejimenti ya Rasilimali witu (Bachelor of Human Resource Management) 

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba alamba nondozz yake katika chuo kikuu cha Bowie State University

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland Ismail Bibangamba ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondo yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast Center,...

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Zainab Kessy Mtambo alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Taylor's University

 Mdau Zainab Kessy Mtambo akiwa na Wazazi wake,Bw. Shaban Kessy Mtambo na Mama Zaitun Mtambo wakati wa hafla ya kupongezwa kwake kwa kulamba Nondozz yake ya Bachelor of Arts (Communication and Media Management) katika Chuo Kikuu cha Taylor's University,Subang Jaya, Selangor, Malaysia. Zainab Kessy akifurahia kulamba Nondozz yake huku akipongezwa na Baba yake,Bw. Shaban Kessy. Familia imetikia,toka Kulia ni Bw. Shaban Kessy,Mama Zaituni,Muhitimu mwenyewe Bi. Zaibab pamoja na Kaka...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Salum Mpenda alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza

 Mdau Salum Mpenda akiwa kapozz kwa picha mara baada ya kulamba Nondozz yake ya Mastars of International Law katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza. Mdau Salum Mpenda (kati) akiwa na Marcina Charles (shoto) na Mariam Ibrahim wakiwa ni wenye furaha tele kwa mufanikiwa kulamza nondozz zao za Mastars of International Law katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza.Furaha ya Nondozz: Mdau Salum Mpenda akiwa kwenye picha ya pamoja na Wazazi wake Dkt. Mpenda na Mama Pili Mpenda...

 

11 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti TASWA alamba nondozz yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Egbert Mkoko (katikati) akipongezwa na walimu wake, Profesa Larry sterilz (kushoto) na Profesa Lynnete sterilz, baada ya kutunukiwa shahada ya pili ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini juzi. (Picha kwa hisani ya TASWA).

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Ephrahim Mushi alamba Nondozz yake ya Masters degree in Environmental Science katika Chuo Kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi

Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini akiwa ameshika Nondozz yake ya Uzamili ya Sayansi ya Mazingira (Masters degree in Environmental Science) mara baada ya kuipokea katika chuo kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi siku ya Alhamisi tarehe 26 Septemba, 2014 na baadae kulifanyika tafrija ya mkia wa jogoo (Cocktail Party) ya kupongezana iliyofanyika katika hoteli ya De Werled katika mji wa Wageningen,nchini humo.Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani