Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau walamba Nondozz zao katika Chuo cha IFM jijini Dar

Wadau wa Globu ya Jamii wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kulamba Nondooz zao za Banking and Finance katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar es Salaam hivi juzi.Pichani toka Husna,Hamisa,Julliez,Evamary.Updesh,Miriam na Lydia waki na nyuso za furaha kabisa.Wadau Julliez na Mirium Wakifurahia baada ya kupata nondoz zao.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wadau walamba Nondozz katika Mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro

 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MuM),Hajjat Mwantum Malale akiongoza mahafali ya saba ya Chuo Kikuu hicho cha Waislam yaliyofanyika jana Novemba 8,2014 katika viwanja vya Chuo hicho.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Baraza la Shule Chuo hicho,Prof. Mussa Assad. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MuM),Prof. Hamza Mustafa Njozi (wa pili kulia) akisoma hotuba yake na baadae kuwakaribisha wakuu wa vitivo kuja kuwaorodhesha wahitimu wao wanaostakihi kutunukiwa Shahada...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Anne Kivembele alamba Nondozz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar

Mdau Anne Kivembele ambaye ni Mhariri na Mchanganya picha wa Kituo cha Televisheni cha ITV akiwa kapozi kwa picha mara baada ya kulamba nondozz yake ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki iliyopita. Mdau Anne Kivembele akiwa na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondooz zao katika Chuo Kikuu Huria,jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI 1,044 WALAMBA NONDOZZZ ZAO CHUO KIKUU CHA ARDHI LEO

 Wahitimu wa digrii ya  elimu jamii katika taaluma za maendeleo jamii wakishangilia baada ya Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya kuwatunuku katika mahafali ya 8 ya chuo hicho, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam jana. Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu, Rigobert Buberwa, wakati wa mahafali ya 8 ya Chuo hicho, Dar es Salaam. Buberwa ametunukiwa  digrii hiyo baada ya kufanikiwa kufanya utafiti unaohusu "Kuelekea modeli ya mfumo wa...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA CHUO CHA KODI JIJINI DAR WATIMIZA WAJIBU KUFANYA USAFI KATIKA CHUO CHAO







CHUO cha Kodi cha Mwenge jijini Dar es Salam wameitikia wito wa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli kufanya usafi katika mazingira ya Chuo hicho.

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kodi, Edward Mwakimonga amewasihi wanafunzi pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa usafi ni afya na ikiwezekana iwe ni kawaida kufanya usafi kila baada ya wiki mara moja ili kuweka mazingira safi.
Nae Waziri Mkuu wa serikali ya chuo cha Kodi, Jeremia Shushu amewashukuru wanafunzi pamoja...

 

9 years ago

Michuzi

Mdau Lusekelo Ambokile alamba nondozz katika Chuo Kikuu cha Middlesex, UK

 Mdau Lusekelo Ambokile akionekana ni mwenye furaha sana mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Dada zake mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Mama yake mzazi.

 

10 years ago

Michuzi

Binti wa Ankal alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Dodoma leo

Binti wa Ankal,Bi. Zahra Muhidin Michuzi akiwa kwenye pozi la picha mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA EC katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo hicho.
Binti wa Ankal,Bi. Zahra Muhidin Michuzi akiendelea kujiachia mbele ya Kamera.Bi Zahra akiendelea kupata taswira mbali mbali.Kwa raha zake Binti Ankal.Pozi la Selfie na mdogo wake.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba alamba nondozz yake katika chuo kikuu cha Bowie State University

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland Ismail Bibangamba ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondo yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast Center,...

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Zainab Kessy Mtambo alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Taylor's University

 Mdau Zainab Kessy Mtambo akiwa na Wazazi wake,Bw. Shaban Kessy Mtambo na Mama Zaitun Mtambo wakati wa hafla ya kupongezwa kwake kwa kulamba Nondozz yake ya Bachelor of Arts (Communication and Media Management) katika Chuo Kikuu cha Taylor's University,Subang Jaya, Selangor, Malaysia. Zainab Kessy akifurahia kulamba Nondozz yake huku akipongezwa na Baba yake,Bw. Shaban Kessy. Familia imetikia,toka Kulia ni Bw. Shaban Kessy,Mama Zaituni,Muhitimu mwenyewe Bi. Zaibab pamoja na Kaka...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA

Mbunge wa Ilala Mh. Mussa Zungu ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) akikata utepe kuashiria uzindunzi wa maadhimisho ya chuo hicho kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake katika hafla iliyofanyika leo jijini Dar es salaam.Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) wakiangalia moja ya picha ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani