Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Ardhi waliofanya Vizuri wanyakua Tuzo mbalimbali
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrisa Mshoro akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa nne aliyefanya vizuri katika masomo yake kwa mwaka 2014/2015 wakati wa leo jijini Dar es salaam.
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia masuala ya Taaluma wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Gabriel Kassenga akizungumza na wanafunzi na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya utoaji wa Tuzo kwa wahitimu wa chuo hicho waliofanya vizuri leo jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Wahadhiri wa Chuo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Wahitimu 130 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), watunukiwa tuzo kwa kufanya vizuri kwenye masomo
Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba alichozawadiwa Kampuni ya Hightech Systems (T) Limited katika hafla ya kuwakabidhi zawadi na tuzo wanafunzi hao bora iliyofanyika katika chuo hicho leo ikiwa ni sehemu ya mahafali ya nane ya chuo hicho yatakayofikia kilele kesho kutwa Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_4HrcjA_NL0/VICM-xiwLmI/AAAAAAAAw6w/No_oLTrixks/s1600/02%2BOnesmo%2BCharles.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AhO9Pt-G1cw/Vm54qqT3xHI/AAAAAAAApAQ/_A4d7wAi9M8/s72-c/Ardhi%2Bna%2B1..jpg)
Mahafali ya 9 ya Chuo Kikuu Ardhi Yafana, 1874 Wahitimu katika fani mbalimbali
![](http://3.bp.blogspot.com/-AhO9Pt-G1cw/Vm54qqT3xHI/AAAAAAAApAQ/_A4d7wAi9M8/s640/Ardhi%2Bna%2B1..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wc3Rg35nMl0/Vm54sWrYJZI/AAAAAAAApAY/ufOS27p2z0Q/s640/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XFtLn35LZMI/Vm54vWu-sBI/AAAAAAAApAg/yuaXq112HFE/s640/Ardhi-3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Wanafunzi 1,044 wahitimu Chuo Kikuu Ardhi
Wahitimu wa digrii ya elimu jamii katika taaluma za maendeleo jamii wakishangilia baada ya Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya kuwatunuku katika mahafali ya 8 ya chuo hicho, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu, Rigobert Buberwa, wakati wa mahafali ya 8 ya Chuo hicho, Dar es Salaam. Buberwa ametunukiwa digrii hiyo baada ya kufanikiwa kufanya utafiti unaohusu “Kuelekea modeli ya mfumo wa...
10 years ago
MichuziWANAFUNZI 1,044 WAHITIMU CHUO KIKUU ARDHI LEO
10 years ago
Habarileo05 Dec
Wanafunzi 130 Chuo Kikuu Ardhi wapewa tuzo
CHUO Kikuu cha Ardhi kimewazawadia wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika fani mbalimbali, wamezawadiwa vyeti na zawadi kutoka kwa wadhamini ili kukuza elimu na kuongeza ushindani baina ya wanafunzi.
11 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Bagamoyo chawaasa wahitimu wa kozi ya Utetezi wa Haki za Binadamu
![](http://4.bp.blogspot.com/-8k4ptFIFvxs/U0z_KzmTcZI/AAAAAAAA9hU/jG6lyYKdnQI/s1600/15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A0Yl9nibPcw/U0vdn8uS6DI/AAAAAAAA9YQ/Bf277RFjRRs/s1600/002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KBNBifZ8BJ0/U0vlzjefnHI/AAAAAAAA9ZI/APN-45Y67lo/s1600/001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s72-c/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s640/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI