Mhe. Membe akutana na Makamu wa Rais wa China mjini Beijing,Pia afanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa nchi hiyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao alipokutana nae kwa mazungumzo kwenye Jumba la Mikutano la Kitaifa la China maarufu kama People's Great Hall mjini Beijing, China. Mhe. Membe yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014.
Mhe. Membe na Mhe. Yuanchao wakiendelea na mazungumzo.
Mhe. Membe akiagana na Mhe. Yuanchao mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s72-c/unnamed+(60).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China,pia afanya mazungumzo na Lord Mandelson
![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8dJSU1-nY0/UvTXKxUEPyI/AAAAAAAFLl8/hhntsNi5e4Q/s1600/unnamed+(61).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H2_rwymNZXY/VbkO3fWMy8I/AAAAAAAHsmI/omlVFk4VQS4/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA SUMATRA, TRA, TABOA, RC-DSM NA WAZIRI WA FEDHA IKULU KWA MAZUNGUMZO, PIA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ECG NA AL KAN KUTOKA MISRI
![](http://3.bp.blogspot.com/-H2_rwymNZXY/VbkO3fWMy8I/AAAAAAAHsmI/omlVFk4VQS4/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cvL2l1YbFWA/VbkO4K2BIKI/AAAAAAAHsmM/Y_a4IMzyDZQ/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IONXx8bgIdg/VbkO4Hv7d0I/AAAAAAAHsmQ/T7fVjNchbHo/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG, AHUTUBIA LEO MKUTANO WA MWISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s640/1A.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bgU4Z_pzN3Q/VmLBKyC9kMI/AAAAAAAAr_w/CsNTJfq8pPQ/s640/2..jpg)
Makamu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lq0IenuLQWE/UvIf11FZMLI/AAAAAAAFK_8/lUS2MVOhw7s/s1600/unnamed+(36).jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFANYA MAUNGUMZO NA BAADHI YA MABALOZI WANAOZIWAKILISHA NCHI ZAO HAPA NCHINI LEO