WANAHARAKATI WAZALENDO WATUMA UJUMBE KWA WAPINZANI KUHUSU BERNARD MEMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-huOb9ZE0JCo/Xl1kq-7baXI/AAAAAAALgeE/0vV7kKWzcBAkHJ2p4Cbi_qgzfM73CvFZgCLcBGAsYHQ/s72-c/MEMBE.jpg)
Na Ripota Wetu, Michuzi Globu
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanaharakati Wazalendo Siasa Tanzania(UWASAT) umevitaka vyama vya upinzani nchini kuwa makini na aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Bernard Membe ambaye kwa sasa amefukuzwa kwenye Chama hicho.
Kwa mujibu wa UWASAT ni kwamba huenda Membe ameondolewa CCM kama mtego kwa wapinzani na hivyo iwapo wataamua kumchukua inaweza kusababisha upinzani nchini kumalizwa kwa urahsi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Umoja huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga na Mama Mjenga wamwandalia futari Mhe. Bernard Membe na ujumbe wake Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jY3qg8uO_bY/U8wh-gahzFI/AAAAAAAF4GY/KB0YmTLGGlk/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAaX_Ll2kmo/U8wiAM-jVOI/AAAAAAAF4Gk/KFaavzfeJFQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i500wJ0RK8Q/U8wiHtS74sI/AAAAAAAF4Gw/IlX0sye2CIs/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-S-89NlP7_Ug/VYf31akfJsI/AAAAAAADtPA/FxvTge48pyA/s72-c/1.jpg)
MWANZA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-S-89NlP7_Ug/VYf31akfJsI/AAAAAAADtPA/FxvTge48pyA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1y7LmtByZkk/VYf33NteqnI/AAAAAAADtPQ/HGorF1D-TQs/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--nK6gGTlrM4/VYtARSg0zLI/AAAAAAADtYc/h66fP5pkYlc/s72-c/1A.jpg)
MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/--nK6gGTlrM4/VYtARSg0zLI/AAAAAAADtYc/h66fP5pkYlc/s640/1A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WP8LGUeJdiA/VYtATP5_lPI/AAAAAAADtY8/NdCBlgpJ320/s640/2A.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Watanzania waishio nje watuma ujumbe Bunge la Katiba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Debora Sanja, Dodoma
WATANZANIA walioko nje ya nchi, wametuma waraka maalumu kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad, alisema raia hao wameomba waraka huo ujadiliwe na wajumbe wakati huu ambapo mchakato wa kuandika Katiba unaendelea katika kamati.
“Raia walioko nje ya nchi, wametuma waraka maalumu ambao waliomba ujadiliwe ndani ya kamati kuhusiana na uraia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s72-c/T.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APOKELEWA KWA KISHINDO MBEYA NA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s640/T.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wananchi waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Mbeya leo June 10, 2015 baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John Badi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-v4AXOl_IWj0/VXhALydjpxI/AAAAAAABhZ4/85jjDyks-o0/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KOuhvdRBc-o/VYbBbF3pyXI/AAAAAAADtBs/UroUJq25H2M/s72-c/1.jpg)
MKOA WA MARA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-KOuhvdRBc-o/VYbBbF3pyXI/AAAAAAADtBs/UroUJq25H2M/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFrMb-DbFoY/VYbBbPHtMFI/AAAAAAADtB0/0YnA_zBMfAc/s640/3.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Bernard Membe: CCM yamfukuza mwanachama wake mwandamizi kwa 'makosa ya maadili'
11 years ago
Habarileo28 May
Membe: Tuwe wazalendo kwa nchi
KITENDO cha Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutetea Rwanda, kimeelezwa kuwa ni kukosa uzalendo. Pia, kitendo hicho kimeonekana ni uchonganishi wa nchi hizo mbili na kinaweza nchi hizo kukosa maelewano. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge, kuhusu bajeti ya wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma jana.
10 years ago
VijimamboMHE. BERNARD MEMBE AKABIDHI HUNDI YA $ 100,000 KWA MTOTO WA BRIGEDIA JEN. MSTAAFU HASHIM MBITA