MHE. BERNARD MEMBE AKABIDHI HUNDI YA $ 100,000 KWA MTOTO WA BRIGEDIA JEN. MSTAAFU HASHIM MBITA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard K. Membe (Mb) (katikati) akikabidhi hundi yenye thamani ya Dola za Marekani laki moja kwa mtoto wa Brigedia Jen. Mstaafu Hashim Mbita, Bibi Shella Mbita. Bibi Mbita alipokea zawadi hiyo kwa niaba ya Baba yake ambayo imetolewa na Rais wa Zimbabwe, Mhe. Robert Mugabe kutokana mchango mkubwa alioutoa Brig. Jen. Mbita katika harakati za ukombozi Kuisini mwa Afrika. Mwingine katika picha ni Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Mhe....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. MEMBE AKABIDHI HUNDI YA DOLA LAKI 1 KWA FAMILIA YA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s1600/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Brigedia mstaafu Hashim Mbita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho amepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha mmoja wa watumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF), Chama cha TANU na Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Africa – Liberation Committee of the African National Unity (OAU), Brigedia Hashim Mbita, kiongozi ambaye Rais Kikwete amemwelezea kama mmoja wa viongozi ambao wameifanyia nchi yetu mengi na kwa miaka mingi.
Rais Kikwete ambaye...
10 years ago
Vijimambo28 Apr
Waziri Membe amuenzi Marehemu Brigedia Generali Hashim Mbita
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s72-c/IMG-20150429-WA0077.jpg)
BRIGEDIA JENERALI ( MSTAAFU ) HASHIM MBITA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s1600/IMG-20150429-WA0077.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-H96lbLPGk/VUENkQVNjNI/AAAAAAAHUJo/Wp9n2hgCN48/s1600/IMG-20150429-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ns5Zr-3mjbk/VUENj3WUZkI/AAAAAAAHUJk/I214oXTNxks/s1600/IMG-20150429-WA0076.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s72-c/mb1.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s1600/mb1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvS_ymPt28/VT5kbpKvu4I/AAAAAAAC3q4/jIhyGWpkSS0/s1600/mb2.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA HOSPITALI YA LUGALO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed3N.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1N.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s72-c/IMG-20150429-WA0077.jpg)
Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hashim Mbita azikwa leo kwenye makaburi ya Kisutu, jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s1600/IMG-20150429-WA0077.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-H96lbLPGk/VUENkQVNjNI/AAAAAAAHUJo/Wp9n2hgCN48/s1600/IMG-20150429-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ns5Zr-3mjbk/VUENj3WUZkI/AAAAAAAHUJk/I214oXTNxks/s1600/IMG-20150429-WA0076.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Tanzania yampoteza mtu muhimu, ni Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki dunia mapema leo
Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita
Taifa likiwa katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania Bar na Zanzibar, mapema leo limepata pigo baada ya kuondokewa na mtu muhimu na aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki katika dunia majira ya asubuhi katika hospitali kuu ya Jeshi, Lugalo, jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa duru za habari kutoka familia ya...