Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Nimeshtushwa sana na kifo cha Kiongozi huyu mashuhuri aliyechangia kwa dhati harakati za ukombozi wa Bara la Afrika. Nimehuzunishwa mno, mimi Binafsi, Familia yangu na nina imani msiba huu mzito sio wa Watanzania peke yao, bali ni wa Bara zima la Afrika kwa ujumla. Katika harakati za kumzika kiongozi huyo, sitokuwepo kwa kuwa niko safarini lakini nitawakilishwa na wanangu wakiongozwa na Dkt Hussein. Kwa Mola tumetoka na kwake Mola sote tutarejea. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s72-c/mb1.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s1600/mb1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvS_ymPt28/VT5kbpKvu4I/AAAAAAAC3q4/jIhyGWpkSS0/s1600/mb2.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s72-c/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fapi.ning.com%2Ffiles%2FebhDxq3vSqjYFAE7ALRDjqlG6buY47wYiglzHj0palxIn1Kzu*mk5fwYtuNfsA7ODuIYKOuimnMgTmBayAtcodIb1CT7ki6G%2F1.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s1600/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s1600/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
10 years ago
MichuziMH. MEMBE AKABIDHI HUNDI YA DOLA LAKI 1 KWA FAMILIA YA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE ATUMA SALAMA ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA BRIGEDIA HASHIM MBITA
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Brigedia mstaafu Hashim Mbita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho amepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha mmoja wa watumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF), Chama cha TANU na Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Africa – Liberation Committee of the African National Unity (OAU), Brigedia Hashim Mbita, kiongozi ambaye Rais Kikwete amemwelezea kama mmoja wa viongozi ambao wameifanyia nchi yetu mengi na kwa miaka mingi.
Rais Kikwete ambaye...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HlyKQC6Okzw/default.jpg)