MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23
![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s72-c/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi
Njoo ujumuike na wapenzi wa Lugha ya Kiswahili pamoja na kupata chakula cha Kiafrika, vinywaji, burudani ya muziki kutoka kwa gwiji Master DJ Luke na maonyesho kadhaa ya wasanii, wakiwemo Anna Mwalagho na AJ Ubao, katika Tamasha la kipekee Washington DC, April 23, 2015.
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s72-c/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU... Mzee Ali Hassan Mwinyi Mgeni Rasmi
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6DJu-ZY1SsM/VBmNnKlpX_I/AAAAAAAGkF8/YyvwAB5Ha04/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Rais Wa awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi kuwa mgeni rasmi Mkutano wa 22 wa AQRB
Rais mstaafu wa Awamu ya pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 22 wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) utakaofanyika Septemba 18 2014.
Msajili wa Bodi ya AQRB Bwana Jehad Abdalah Jehad amesema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bwana Jehad alisema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kuendeleza wataaluma wa fani ya...
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI APENDEZESHA SHEREHE YA CHAUKIDU SILVER SPRING, MARYLAND NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU MHESHIMIWA ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC.
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTHsl01AYOc/VWgjXFlg-hI/AAAAAAAHaiI/z5uBTUWXTrQ/s72-c/Ali%2BHassan%2BMwinyi.jpg)
TAARIFA YA ZIARA YA RAIS MSTAAFU ALHAJJ DR ALI HASSAN MWINYI KATIKA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-iTHsl01AYOc/VWgjXFlg-hI/AAAAAAAHaiI/z5uBTUWXTrQ/s400/Ali%2BHassan%2BMwinyi.jpg)
Siku ya Afrika huadhimishwa tarehe 25 Mei na mataifa ya Afrika pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa mataifa hayo duniani kote, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuasisiwa kwa...