TAARIFA YA ZIARA YA RAIS MSTAAFU ALHAJJ DR ALI HASSAN MWINYI KATIKA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh.Ali Hassan Mwinyi amefanya ziara ya siku tatu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ziara hiyo ya Rais Mstaafu inafuatia mwaliko wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliomuomba kuwa mgeni mashuhuri katika sherehe za kuadhimisha miaka hamsini na mbili (52) ya Afrika.
Siku ya Afrika huadhimishwa tarehe 25 Mei na mataifa ya Afrika pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa mataifa hayo duniani kote, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuasisiwa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
Vijimambo
MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23



Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI ALIYOTOA KATIKA KUFUNGA MKUTANO WA MABALOZI WA HESHIMA
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU MHESHIMIWA ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC.
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
MichuziRais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi wamtembelewa balozi Mulamula
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AFUNGA KIKAO CHA MABALOZI WA HESHIMA WASHINGTON, DC