RAIS KIKWETE ATUMA SALAMA ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA BRIGEDIA HASHIM MBITA
Mjane wa marehemu Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita, Ngeme Mbita (katikati) akiwa na waombolezaji wengine nyumbani kwa marehemu, Chang’ombe jijini Dar es Salaam leo. Brigedia Mbita amefariki leo katika Hospitali ya Lugalo.(Picha na Francis Dande)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba akiwa nyumbani kwa marehemu, Brigedia Jenerali Hashim Mbita Chang'ombe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa Heshima wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Said El Maamry na Mkurugenzi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Brigedia mstaafu Hashim Mbita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho amepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha mmoja wa watumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF), Chama cha TANU na Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Africa – Liberation Committee of the African National Unity (OAU), Brigedia Hashim Mbita, kiongozi ambaye Rais Kikwete amemwelezea kama mmoja wa viongozi ambao wameifanyia nchi yetu mengi na kwa miaka mingi.
Rais Kikwete ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Rais Kikwete atoa heshima za Mwisho kwa Brigedia Jenerali Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzuEqHKXgZc/VUDftii9sCI/AAAAAAAHUBY/fq5FPSRFWNk/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s1600/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s72-c/mb1.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s1600/mb1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvS_ymPt28/VT5kbpKvu4I/AAAAAAAC3q4/jIhyGWpkSS0/s1600/mb2.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA HOSPITALI YA LUGALO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed3N.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1N.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA BW. JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salama za rambirambi kwa mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, Bw. John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9,2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Pamoja na salamu hizi, Rais Kikwete ambaye yuko nchini Alrgeria kwa ziara ya kikazi, amefanya mawasiliano binafsi na Mama Maria na kumpa pole kwa kuondokewa na kijana wake.
“Hakuna mzazi anayependa kuondokewa na mwanae, ni kitu kigumu sana kwa mzazi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PLLaJaJ9bZs/VZQJF6mABAI/AAAAAAAHmQE/c6pSCeOp3Y4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA CHIFU KINGALU
![](http://4.bp.blogspot.com/-PLLaJaJ9bZs/VZQJF6mABAI/AAAAAAAHmQE/c6pSCeOp3Y4/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mheshimiwa Dkt. Rajabu Lutengwe, Rais Kikwete amesema kuwa amepokea taarifa cha kifo cha Chifu Kingalu kwa mshtuko na majonzi.
”Nimeshtushwa na taarifa za kifo cha Chifu Kingalu ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0e9nYD_mzXo/VW6fQPkh_cI/AAAAAAAHbi4/s5bLjRaKyXw/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA UKONGA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://4.bp.blogspot.com/-0e9nYD_mzXo/VW6fQPkh_cI/AAAAAAAHbi4/s5bLjRaKyXw/s1600/New%2BPicture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshutuko na masikitiko taarifa za kifo cha mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DtbhSFwbHmQ/U4Gg0xp8dxI/AAAAAAAFk2U/yUHuyVGE32o/s72-c/maxi.jpg)
Rais Kikwete atuma salam za rambirambi kufuatia kifo cha Mwanahabari Maximilian Ngube
![](http://3.bp.blogspot.com/-DtbhSFwbHmQ/U4Gg0xp8dxI/AAAAAAAFk2U/yUHuyVGE32o/s1600/maxi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pq-uo-MRxgs/U4Gf-UV3bgI/AAAAAAAFk2E/k-rA56zI8VI/s1600/New+Picture+(5).bmp)
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bwana Maximilian kilichotokana na maradhi ya Moyo, Sukari na Shinikizo la...