Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger na Mourinho warushiana maneno

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amemjibu mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger baada ya Wenger kuhoji kuhusu mbinu ya Chelsea kulinda lango lake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Nape, Mgeja warushiana maneno

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja jana walirushiana maneno kutokana na kada huyo kutangaza kuhamia Chadema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amkejeli Wenger

Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amemkosoa tena mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger akimtaja kuwa mfalme anayeongoza bila presha

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amfanyia masikhara Wenger

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amemfanyia masikhara mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger huku the Blues ikijiandaa kukabiliana na kilabu ya Manchester City siku ya jumapili.

 

9 years ago

Mtanzania

Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho

wengerLONDON, ENGLAND

BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.

Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.

Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...

 

9 years ago

TheCitizen

Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa

Diego Costa provided the lightning conductor as the longstanding friction between Chelsea and Arsenal crackled to the fore during his side’s ill-tempered 2-0 victory in the Premier League.

 

9 years ago

Africanjam.Com

WHAT JOSE MOURINHO SAID ABOUT WENGER BEFORE TODAY'S CHELSEA CLASH WITH ARSENAL

José Mourinho has said his history with Arsène Wenger and Arsenal will have no bearing on Chelsea’s latest meeting with the Gunners at Stamford Bridge on Saturday lunchtime and he will offer his hand to his rival before kick-off.There is no love lost between the pair and they have previous in terms of flashpoints, the most recent of which came at the Community Shield last month, when they did not shake hands after Arsenal’s victory. Wenger appeared to give Mourinho a deliberately wide berth...

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole , Mziwanda Warushiana Vijembe Mtandaoni

Penzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia  mashine kwa sasa hivi  baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;

"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"


Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani