Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho amkejeli Wenger

Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amemkosoa tena mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger akimtaja kuwa mfalme anayeongoza bila presha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amfanyia masikhara Wenger

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amemfanyia masikhara mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger huku the Blues ikijiandaa kukabiliana na kilabu ya Manchester City siku ya jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger na Mourinho warushiana maneno

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amemjibu mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger baada ya Wenger kuhoji kuhusu mbinu ya Chelsea kulinda lango lake.

 

9 years ago

TheCitizen

Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa

Diego Costa provided the lightning conductor as the longstanding friction between Chelsea and Arsenal crackled to the fore during his side’s ill-tempered 2-0 victory in the Premier League.

 

9 years ago

Mtanzania

Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho

wengerLONDON, ENGLAND

BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.

Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.

Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...

 

9 years ago

Africanjam.Com

WHAT JOSE MOURINHO SAID ABOUT WENGER BEFORE TODAY'S CHELSEA CLASH WITH ARSENAL

José Mourinho has said his history with Arsène Wenger and Arsenal will have no bearing on Chelsea’s latest meeting with the Gunners at Stamford Bridge on Saturday lunchtime and he will offer his hand to his rival before kick-off.There is no love lost between the pair and they have previous in terms of flashpoints, the most recent of which came at the Community Shield last month, when they did not shake hands after Arsenal’s victory. Wenger appeared to give Mourinho a deliberately wide berth...

 

10 years ago

GPL

WEMA AMKEJELI KAJALA

Stori: Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
NGOMA nzito! Kauli ya sexy lady wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kuwa yupo tayari kumtumikia msanii mwenzake Kajala Masanja ‘K’ kwenye kampuni yake ya KAY Entertiment tena bila malipo yoyote, imetafisiriwa kuwa ni kejeli. Sexy lady wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ Hivi karibuni Wema...

 

10 years ago

GPL

GARDNER AMKEJELI JIDE!

Gladness Mallya REVENGE! Katika kile kinachoonekana kama kejeli kwa mke wake wa zamani aliyekorofishana naye, mtangazaji maarufu Gardner G. Habash, ametundika picha kwenye akaunti yake katika mtandao wa Instagram ikimuonyesha akiwa amempakata mwanamke mjamzito. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Kh4pCJ

 

10 years ago

GPL

WEMA AMKEJELI LINAH!

Imelda Mtema
NI shiida! Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ kulalamika juu ya kitendo cha Wema Sepetu ‘Madame’ kumchukua aliyekuwa bwana’ake Nangari Kombo, muigizaji huyo ameibuka na kutoa maneno yanayoashiria kejeli, kuwa aache presha, kwani zile ni picha tu! Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madame'. Katika gazeti la Risasi Jumamosi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani