Viongozi warushiana mpira hofu ya kemikali Serengeti
Malalamiko ya wakazi wa Kijiji cha Majimoto, Tarafa ya Ngoreme wilayani Serengeti mkoani Mara ambako hatakati za uchimbaji wa dhahabu zinaendelea kushika kasi, yamesababisha baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali kurushiana mpira kuhusu suala hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Hofu kuwa Syria ina silaha za kemikali
10 years ago
Michuzi.jpg)
VIONGOZI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MANISPAA YA LINDI MJINI WAPEWA ELIMU YA CHF
.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Aug
Nape, Mgeja warushiana maneno
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Wenger na Mourinho warushiana maneno
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Shilole , Mziwanda Warushiana Vijembe Mtandaoni
Penzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia mashine kwa sasa hivi baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;
"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"
Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo...
11 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.


11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar
Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...