Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi warushiana mpira hofu ya kemikali Serengeti

Malalamiko ya wakazi wa Kijiji cha Majimoto, Tarafa ya Ngoreme wilayani Serengeti mkoani Mara ambako hatakati za uchimbaji wa dhahabu zinaendelea kushika kasi, yamesababisha baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali kurushiana mpira kuhusu suala hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hofu kuwa Syria ina silaha za kemikali

Syria imeshindwa kutimiza makataa ya mwisho yaliyotolewa na jamii ya kimataifa kuitaka iharibu silaha zake za kemikali hivi leo.

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MANISPAA YA LINDI MJINI WAPEWA ELIMU YA CHF

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Lindi,Fortunata Raymond akitoa elimu ya umuhimu na faida ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF),kwa viongozi wa chama cha mpira wa miguu na vilabu vilivyopo Manispaa ya Lindi mjini,ambapo aliwataka kutambua na kuchangamkia fursa ya kujiunga na mfuko huo kwani ni wa gharama nafuu,utakaowawezesha kupata huduma za matibabu na familia zao kwa kuchangia mara moja kwa mwaka mzima,elimu hiyo ilifanyika kwenye Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi....

 

10 years ago

Mwananchi

Nape, Mgeja warushiana maneno

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja jana walirushiana maneno kutokana na kada huyo kutangaza kuhamia Chadema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger na Mourinho warushiana maneno

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amemjibu mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger baada ya Wenger kuhoji kuhusu mbinu ya Chelsea kulinda lango lake.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole , Mziwanda Warushiana Vijembe Mtandaoni

Penzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia  mashine kwa sasa hivi  baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;

"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"


Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.

   Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI


  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto) Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu huku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”

4

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.

2

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na   Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar

CAMPIX PRODUCTION

Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani