Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu kuwa Syria ina silaha za kemikali

Syria imeshindwa kutimiza makataa ya mwisho yaliyotolewa na jamii ya kimataifa kuitaka iharibu silaha zake za kemikali hivi leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Silaha za kemikali zatumika Syria

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa umeruhusu timu ya uchunguzi kufuatilia ni nani wanaohusika na mashambulizi ya silaha za Kemikali nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi warushiana mpira hofu ya kemikali Serengeti

Malalamiko ya wakazi wa Kijiji cha Majimoto, Tarafa ya Ngoreme wilayani Serengeti mkoani Mara ambako hatakati za uchimbaji wa dhahabu zinaendelea kushika kasi, yamesababisha baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali kurushiana mpira kuhusu suala hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria ina imani na washirika wake

Rais Bashar al-Assad amesema ana imani kwamba Urusi na Iran zitasimama kidete naye licha ya tuhuma kwamba huenda zikamtenga

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema inafanya kila iwezalo kuzuia wapiganaji wa ISIL kuudhibiti mji wa Syria Kobane.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa silaha kwa waasi Syria

Jeshi la Marekani limetoa zaidi ya tani 45 za silaha kwa waasi wanaopambana na wanamgambo wa Islamic State (IS)

 

9 years ago

GPL

HOFU YATANDA, SILAHA ZA KIVITA KUKAMATWA

Silaha zilizokamatwa zikioneshwa kwa wandishi wa habari. Na Timu ya Uwazi, Mkuranga HOFU kubwa imetanda kwenye Kijiji cha Mamndi Mkongo kilichopo Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani kufuatia Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa  kushirikiana na wale wa mkoa huo kunasa silaha  nyingine za kivita zikiwa zimefukiwa kwenye shimo msituni. Tukio hilo  la unasaji wa silaha lilifanikiwa Agosti 29,  mwaka huu ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen kuwa kama Syria, Iraq na Libya?

Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, yemen iko katika hatari kubwa ya kuingia katika migogoro, kama ilivyo Syria, Iraq na Libya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Syria watumia mateka kuwa ngao

Taarifa kutoka nchini Syria zinaeleza kwamba ,waasi nchini humo wanatumia askari mateka wanajeshi na wengine wenye uhusiano na serikali kama ngao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani