Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa
Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Silaha za kemikali zatumika Syria
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa umeruhusu timu ya uchunguzi kufuatilia ni nani wanaohusika na mashambulizi ya silaha za Kemikali nchini Syria.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Hofu kuwa Syria ina silaha za kemikali
Syria imeshindwa kutimiza makataa ya mwisho yaliyotolewa na jamii ya kimataifa kuitaka iharibu silaha zake za kemikali hivi leo.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Jenerali Nshimirimana auwawa
Jenerali aliyehusika na usalama na kukandamiza maandamano Burundi, apigwa risasi na kuuwawa
9 years ago
Vijimambo17 Aug
Mjukuu wa Morgan freeman auwawa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/08/17/150817094443_morgan_freeman_549x549__nocredit.jpg)
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.
E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.
Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.
Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu
Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mjkuu wa Morgan freeman auwawa
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Shelder; mtaalamu wa kufumania nyavu
Mashindano ya Airtel Rising Stars 2014 yamemalizika kwa timu ya wasichana Mkoa wa kisoka wa Temeke, kutwaa ubingwa wa mashindano hayo baada ya kuifunga Timu ya Kinondoni kwa mikwaju ya penalti 4-3.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mwinjilisti auwawa kwa kuchomwa mishale
Mwinjilisti wa Kanisa la Waadiventisha Wasabato, Yese Mileyi (50) ameuwawa kwa kuchomwa mishale miwili na watu wasiojulikana ambapo mshale mmoja ulimpata shavuni na mwingime mgongoni na kufariki dunia hapo hapo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania