Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Silaha za kemikali zatumika Syria

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa umeruhusu timu ya uchunguzi kufuatilia ni nani wanaohusika na mashambulizi ya silaha za Kemikali nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu kuwa Syria ina silaha za kemikali

Syria imeshindwa kutimiza makataa ya mwisho yaliyotolewa na jamii ya kimataifa kuitaka iharibu silaha zake za kemikali hivi leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jenerali Nshimirimana auwawa

Jenerali aliyehusika na usalama na kukandamiza maandamano Burundi, apigwa risasi na kuuwawa

 

9 years ago

Vijimambo

Mjukuu wa Morgan freeman auwawa

Morgan freeman na mjukuu wake Hines
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.

Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.

Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu

Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjkuu wa Morgan freeman auwawa

Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

 

10 years ago

Mwananchi

Shelder; mtaalamu wa kufumania nyavu

Mashindano ya Airtel Rising Stars 2014 yamemalizika kwa timu ya wasichana Mkoa wa kisoka wa Temeke, kutwaa ubingwa wa mashindano hayo baada ya kuifunga Timu ya Kinondoni kwa mikwaju ya penalti 4-3.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwinjilisti auwawa kwa kuchomwa mishale

Mwinjilisti wa Kanisa la Waadiventisha Wasabato, Yese Mileyi (50) ameuwawa kwa kuchomwa mishale miwili na watu wasiojulikana ambapo mshale mmoja ulimpata shavuni na mwingime mgongoni  na kufariki dunia hapo hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani