Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjkuu wa Morgan freeman auwawa

Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Mjukuu wa Morgan freeman auwawa

Morgan freeman na mjukuu wake Hines
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.

Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.

Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...

 

10 years ago

Bongo5

Morgan Freeman (77): Mapenzi yananipa ujana

Muigizaji wa filamu wa Marekani, Morgan Freeman anadai kuwa mapenzi yanamfanya aendelee kuwa kijana. Staa huyo mwenye miaka 77 ambaye hadi sasa ana talaka mbili anahisi kuwa hamu ya kufanya mapenzi katika uzee huo ni sababu ya kujisikia kijana. Anadai kuwa wasichana wamekuwa wakimwambia bado anavutia. Alipoulizwa ni vipi ameendelea kujisikia kijana, Morgan alijibu: “P***y.” […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Morgan Freeman anusurika ajali ya ndege

Msanii mkongwe Morgan Freeman alinusurika katika ajali ya ndege mjini Mississippi Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jenerali Nshimirimana auwawa

Jenerali aliyehusika na usalama na kukandamiza maandamano Burundi, apigwa risasi na kuuwawa

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cynthia Morgan — Simatiniya

Msanii wa muziki wa dance hall kutoka Nigeria Cynthia Morgan ameachia video mpya wimbo unaitwa “Simatiniya”, Katika hii video ameonekana msanii Burna Boy. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu

Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu

 

9 years ago

TheCitizen

MORGAN MEAKER : Any such thing as a ‘safe’ country?

At the same time as European Union nations consider opening their doors to more Syrian refugees, they are looking for ways to close them to asylum seekers from other countries.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani