Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morgan Freeman (77): Mapenzi yananipa ujana

Muigizaji wa filamu wa Marekani, Morgan Freeman anadai kuwa mapenzi yanamfanya aendelee kuwa kijana. Staa huyo mwenye miaka 77 ambaye hadi sasa ana talaka mbili anahisi kuwa hamu ya kufanya mapenzi katika uzee huo ni sababu ya kujisikia kijana. Anadai kuwa wasichana wamekuwa wakimwambia bado anavutia. Alipoulizwa ni vipi ameendelea kujisikia kijana, Morgan alijibu: “P***y.” […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mjkuu wa Morgan freeman auwawa

Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

 

9 years ago

Vijimambo

Mjukuu wa Morgan freeman auwawa

Morgan freeman na mjukuu wake Hines
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.

E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.

Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.

Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Morgan Freeman anusurika ajali ya ndege

Msanii mkongwe Morgan Freeman alinusurika katika ajali ya ndege mjini Mississippi Marekani.

 

10 years ago

Mtanzania

Riyama: Maneno machafu yananipa chakula

Riyama-AliNA GEORGE KAYALA
MSANII mwenye heshima kubwa kwenye tasnia ya filamu za Bongo, Riyama Ally, ameibuka na kujivunia kwamba maneno machafu anayoyatumia katika filamu mbalimbali anazocheza ndiyo yanayompa chakula cha kila siku.
Riyama alisema katika filamu mbalimbali alizocheza amekuwa akitumia maneno ya kashfa, kejeli ambayo yameonyesha kuvutia waongozaji wengi wa filamu nchini kumtumia katika filamu zao.
“Nina kila sababu ya kujivunia maneno machafu ya uswahilini kwani hayo ndiyo yananifanya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Urais ni zaidi ya ujana’

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka vijana kumchagua mtu, “anayefanana na kijana” kurithi nafasi yake katika Uchaguzi Mkuu 2015, wanasiasa na wasomi nchini wamesema sifa za mtu anayefaa kuwa rais ni zaidi ya ujana.

 

9 years ago

Mwananchi

Ujana maji ya moto:

Ujana maji ya moto, mimi nimejionea, Tena unachangamoto, leo nazielezea, Unapotoka utoto, ujana ukiingia, Ujana maji ya moto, wengi wameshaungua.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cynthia Morgan — Simatiniya

Msanii wa muziki wa dance hall kutoka Nigeria Cynthia Morgan ameachia video mpya wimbo unaitwa “Simatiniya”, Katika hii video ameonekana msanii Burna Boy. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujana ni mapito, si sifa ya uongozi

SIKUBALIANI na wanasiasa vijana wanaoendekeza siasa za kutukuza ujana na kubeza “uzee” kama njia ya kujipatia uongozi. Sikubaliani nao wanaposimama majukwaani kuhamasisha vijana wenzao kuwa huu ni wakati wao kuchukua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani