Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujana maji ya moto:

Ujana maji ya moto, mimi nimejionea, Tena unachangamoto, leo nazielezea, Unapotoka utoto, ujana ukiingia, Ujana maji ya moto, wengi wameshaungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Ujana maji moto, uzee maji baridi

>Ukubwa hauna ngoma ya utambulisho, kadhalika uzee hauna parapanda. Pindi yanapokufika basi utayaona na huna budi kuyakubali. Hayupo awaye yote aliyejaribu na kufanikiwa kukwepa majukumu haya yasiyo ya hiyari. Ukimwona mtu anayakwepa, basi uwe na uhakika kuwa anajaribu kukitoroka kivuli chake bila mafanikio.

 

9 years ago

Dewji Blog

“Maji Moto”: The Adventurous Tourist Guide

majimoto

It takes just an hour to get from Arusha to the small town called Gombe where you’ll find a valuable oasis on a semi desert area – known as Maji Moto; this is the Swahili way of saying “hot water”. It is an astonishing tourist area, the Maasai community work actively to preserve the land for wildlife and their traditional way of life. The community provides the tourists with an opportunity to truly interact them rather than the “staged” experience that is normally seen by most...

 

9 years ago

Mwananchi

Mama amchoma mwanaye kwa maji moto

Polisi mkoa wa Mara inamshikilia mwananke mmoja (jina tunalo) mkazi wa Bweri Manispaa ya Musoma kwa kosa la kumchoma mtoto wake mwenye miaka minne, kwa maji ya moto, mikono yote miwili baada ya kumtuhumu kuwa ameiba nyama jikoni.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa miaka 8 achapwa na kumwagiwa maji moto

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka minane amechapwa viboko na kumwagiwa maji ya moto na mama yake kwa kambo kwa kuchelewa kuwapa wadogo zake chakula cha mchana.

 

10 years ago

GPL

CHUMA CHA MOTO HAKIZIMWI KWA MAJI BARIDI!

Mmh! Yaani kufungua gazeti tu umeanza na mimi, inaonekana ulikuwa ukinisubiri kwa hamu kubwa, nipo nimejaa tele kama pishi la mchele. Kuna baadhi ya makabila husema kwa nini akunyime kitu ambacho amekikuta mwilini mwake. Nami vilevile kwa nini niwanyime uhondo kitu ambacho nimekipata katika raha zangu? Shoga huu ni unyago wa bure, japo si kungwi kihivyo, lakini kaa chini nikufunde ufundike, sipendi kutiwa aibu na mwanamke...

 

10 years ago

GPL

KISA WIVU, AMWAGIWA MAJI YA MOTO NA MPENZI WAKE

Juma Ally akionyesha jeraha alilolipata baada ya kumwagiwa maji ya moto na mpenzi wake. Na Haruni Sanchawa
MAPENZI kiboko! Juma Ally, mkazi wa Mongolandege Ilala jijini Dar es Salaam, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya moto na mpenzi wake, Swaumu Shemsanga, kisa kikidaiwa kupishana kauli kwenye mazungumzo yao. Anayedaiwa kummwagia maji ya moto Juma Ally. Chanzo makini kimelieleza gazeti hili kuwa tukio...

 

10 years ago

GPL

CHUMA CHA MOTO HAKIZIMWI KWA MAJI BARIDI!-2

Nami bila aibu nilimfuata bibi yangu kizaa mama na kumuuliza kitu gani alichomfanyia babu kumfanya asioe wanawake wengi tofauti na wazee wengi wa zamani walikuwa wakishindana kuoa. Bibi hakuwa mchoyo alinieleza nami nilikuja kuifanyia kazi. Siku hiyo nilikutana na mtu wangu kama kawaida yetu mtoto wa kike nilibadilika kwa kuonesha mashamsham kama ndiyo siku ya kwanza kuonana. Tokea tunakula nilimlisha kama mtoto na kumfanya...

 

10 years ago

Habarileo

Ammwagia mumewe maji ya moto usoni, sehemu za siri

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda MKAZI wa Kitongoji cha Mfinzi kijiji cha Chala wilayani Nkasi, Zelena Kiozya (55) anadaiwa kumuua mumewe Evod Teola (62) kwa kummwagia maji ya moto mwilini mwake.

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MUMEWE KWA MAJI YA MOTO

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi mkoani hapa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi usiku kijijini hapo na kumtaja aliyeuawa kuwa ni Evod Teola (62).

Alisema siku ya tukio mwanamume huyo alirejea nyumbani na kuanza mzozo na mkewe aliyemtaja kwa jina la Zelena Kiozya (55) ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani