Jenerali Nshimirimana auwawa
Jenerali aliyehusika na usalama na kukandamiza maandamano Burundi, apigwa risasi na kuuwawa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Burundi:Waliomuua jenerali Nshimirimana wakamatwa
Kiongozi wa mashtaka nchini Burundi amesema kuwa watu kadhaa wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya jenerali,Adolphe Nshimirimana wamekamatwa
11 years ago
BBCSwahili05 Jan
Jenerali wa Sudan Kusini auwawa Bor.
Mapigano makali yamezuka nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini wa Bor na Jenerali mmoja wa jeshi la Sudan Kusini ameuwawa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s640/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu
Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mjkuu wa Morgan freeman auwawa
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.
9 years ago
Vijimambo17 Aug
Mjukuu wa Morgan freeman auwawa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/08/17/150817094443_morgan_freeman_549x549__nocredit.jpg)
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.
E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.
Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.
Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa
Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania