Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kificho: Warioba alinilisha maneno

Wakati bado msimamo wa Wajumbe wa Bunge la Katiba wa kundi la Ukawa ukiwa haufahamiki kama watarejea bungeni kuendelea na vikao hivyo mwezi Agosti au la, mjadala wa katiba mpya umechukua sura mpya, baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, kuungana na viongozi wa CCM kukibeza kikundi hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Warioba awagonganisha Kificho na mwakilishi

>Hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba katika Bunge la Katiba imewagonganisha  Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho na Mwakilishi wa Baraza hilo, Rufani Said Rufani

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

'Maneno maneno' yamkera Waziri

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA

Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.  PICHA ZOTE/JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOGWaziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akizungumza wakati akiwanadi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho ashambuliwa

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho,  kwa kuliendesha kisiasa.  Mashambulizi hayo waliyatoa jana mara baada ya kuahirishwa  kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kificho na miswada

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wananchi kujitokeza kutoa maoni yao kuchangia katika miswada mbalimbali inayotarajiwa kuwasilishwa.

 

11 years ago

IPPmedia

Kificho: No regret for what happened under me


Kificho: No regret for what happened under me
IPPmedia
The then Interim Chairman of the Constituent Assembly Mr Pandu Ameir Kificho has light words for all that happened under his authority, saying, “I do not regret anything!” Speaking with The Guardian on Sunday in an exclusive interview, just few hours after ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Pandu Kificho ametusaliti’

>Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amekiri kuwasilisha waraka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kupendekeza Zanzibar na Tanganyika kuwa na mamlaka huru, hatua ambayo imezua malalamiko miongoni mwa makada wa chama hicho ambao wamesema huo ni usaliti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani