Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba awagonganisha Kificho na mwakilishi

>Hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba katika Bunge la Katiba imewagonganisha  Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho na Mwakilishi wa Baraza hilo, Rufani Said Rufani

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kificho: Warioba alinilisha maneno

Wakati bado msimamo wa Wajumbe wa Bunge la Katiba wa kundi la Ukawa ukiwa haufahamiki kama watarejea bungeni kuendelea na vikao hivyo mwezi Agosti au la, mjadala wa katiba mpya umechukua sura mpya, baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, kuungana na viongozi wa CCM kukibeza kikundi hicho.

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Amuita WIFI Mwingine MKWE!!

Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni

Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia  Esma  ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI.  Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.

“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma

Baada ya saa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Aita WIFI Mwingine MKWE!!

Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni

Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia  Esma  ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI.  Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.

“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma

Baada ya saa...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA

Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.  PICHA ZOTE/JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOGWaziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akizungumza wakati akiwanadi...

 

10 years ago

Habarileo

Kificho na miswada

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wananchi kujitokeza kutoa maoni yao kuchangia katika miswada mbalimbali inayotarajiwa kuwasilishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho ashambuliwa

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho,  kwa kuliendesha kisiasa.  Mashambulizi hayo waliyatoa jana mara baada ya kuahirishwa  kwa...

 

11 years ago

TheCitizen

CA in danger of collapsing, says Kificho

The interim chairman of the Constituent Assembly (CA), Mr Pandu Ameir Kificho, warned yesterday that it would be impossible for the country to get a new constitution within the specified time if members continue with their conduct.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu ampongeza Kificho

Askofu wa Kanisa la Pentecoste Holiness Association Mission (PHAM) Kanda ya Kati, Julius Bundala amempongeza aliyekuwa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho kwa kuliongoza bunge hilo kwa umakini bila ya kutumia kanuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani