VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Aita WIFI Mwingine MKWE!!
Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni
Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia Esma ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI. Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.
“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma
Baada ya saa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Amuita WIFI Mwingine MKWE!!
Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni
Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia Esma ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI. Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.
“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma
Baada ya saa...
9 years ago
Bongo Movies06 Sep
Mume wa Dada Yake na Diamond Akanusha Kutoka na Wema
Mume wa dada yake na Diamond, Esma, Petit Man ambaye pia ni mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless Fame Film amekanusha kutoka kimapenzi na na bosi wake huyo.
Akizungumza kwenye kipindi cha na FNL cha EATV jana, Petit alisema anamheshimu Wema kama bosi wake.
“Niko na Wema huu ni mwaka wa nane inasemekana vitu hivyo hivyo,” alisema. “Lakini Wema akiwa tu karibu na mtu basi watu wanasema hivyo. Ilikuwa kwa Mirror wakasema hayo, maneno hayo ni maneno wanayoyaongea. Hakuna kitu...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
PICHA: Kitendo ya Dada yake Diamond Kudendeka na Wema Chawa Gumzo Mtandaoni
Siku za hivi karibuni kumeibuka na mtindo mpya wa watu kulishana keki wa kutumia mdomo yaani “Kudendeka”.
Picha ya mrembo na mwigizaji wa filamu Wema Sepetu akilishwa keki kwa mdomo na dada yake Diamond, Esma imeibua mjadala mtandaoni baada ya baadhi ya watu kudai kuwa Wema anataka kumrusha roho Zari ambae awari aliandika ujumbe mtandaoni na kumuita Esma WIFI. Huku wengine wakiona kama ni kawaida kwani kwa kiasi kikubwa Wema ndio aliewawezesha Esma na Petti Man wakafunga ndoa.
Tukio hilo...
10 years ago
Dewji Blog21 Apr
EXCLUSIVE Gossip: “Dada wa Diamond Platnumz, Esma afunguka juu ya manyanyaso ya #teamWema mtandaoni
Esma mdogo wa Diamond Platnumz, aliyevunja ukimya, asubuhi ya leo juu ya kufuatwa fuatwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wa marafiki wa Wema Sepetu #teamWema, ambao wamekuwa wakitukana na kumtaka asimsaidie kaka yake juu ya shughuli zake za muziki.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Kuna misemo mingi juu ya mawifi wengi ‘wanagugu’ hasa wa ndugu wa mme, hilo ndilo lililomkuta dada wa mwanamuziki nyota nayefanya vizuri Bongo nan je ya Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’ ajulikanaye kwa jina la Esma...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s72-c/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
"WAKATI MWINGINE USIRI UNA BARAKA ZAIDI.....ALHAMDULILAH' HAYO NDIO MANENO YA DIAMOND KUASHIRIA HARUSI YAKE NA ZARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s1600/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L-F8Nrsq7p0/VR8fDd-k-7I/AAAAAAADepE/Zom4QcpNOXs/s1600/8e5eaca18e378874944d98b277fef038%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JZTxrkkibHs/VR8fDWbloII/AAAAAAADepM/0NLeuSwpfIg/s1600/fd1918c1ea9148de7504e6bd026a1b5a%2B(2).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1hLf7Y9EzTSweEm5ISiIreECaOwDg8H6rwhBfBh11CN7Eha-0Y7htc9jIUfQ3tLLOIVvaTE7mDzwn8C4-jtGQq/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
ANAYEDAI WIFI WA ZARI AZUIWA GETINI KWA DIAMOND
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mAr53L28UR0/VUOBSPD79PI/AAAAAAAAtBs/ZszPK3SJ_xg/s72-c/zari%2Bwetu.jpg)
Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari
![](http://1.bp.blogspot.com/-mAr53L28UR0/VUOBSPD79PI/AAAAAAAAtBs/ZszPK3SJ_xg/s640/zari%2Bwetu.jpg)
Zari "Watanzania Wamenikaribisha kama ni mtu wao na sasa mimi ni wao hivyo ni yote ni heri kabisa"
Zari Tlale aka The Bosslady amesema upendo anaoupata baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond Platnumz, umemfanya agundue kuwa watanzania wamemkubali kama mtu wao.
Akiongea na Clouds FM/TV asubuhi hii, Zari amesema tangu ameanza kuja Tanzania amekuwa akipokea upendo zaidi kutoka kwa watanzania kiasi ambacho kimemfanya ajisikie kama yupo kwao.“Siwezi hata kulalamika, watu wa Tanzania ni wakarimu...
10 years ago
GPLPOST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA UTATA INSTAGRAM
10 years ago
Vijimambo02 Feb
POST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA JAMBO INSTAGRAM
![](http://api.ning.com/files/2xPSDbl5pyh9l3r20vG0Iy5xgePUxs*zBI7gMtGbR-56lWab3*oRr1YfQ8LiOgvhdneGAyWNJBMmUi*cFqKQI6dZzpKzWn4Q/zari5.jpg)
Zari ambaye bado yupo Bongo, katika post yake hiyo awali aliandika 'Happy bday to my lovely shemeji wifi' ila baadaye aliamua kubadilisha baada ya baadhi ya mashabiki wake kumkosoa huku wengine wakidai anatafuta kiki na baadhi wakimtolea maneno ya kuudhi. Usahihi...