"WAKATI MWINGINE USIRI UNA BARAKA ZAIDI.....ALHAMDULILAH' HAYO NDIO MANENO YA DIAMOND KUASHIRIA HARUSI YAKE NA ZARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s72-c/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
Picha alizotupia Diamond kwenye instagram yake akiwa na Zari huku akiwa ameandika maneno ya mafumbo yasemayo "Wakati mwingine usiri una baraka zaidi kuashiria ndoa yake na Zari picha ambazo ndio gumzo kwa sasa kwenye kila mitandao.
Diamond na Zari katika picha.
Hiyo ndio habari ya mujini.
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania