Kificho na miswada
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wananchi kujitokeza kutoa maoni yao kuchangia katika miswada mbalimbali inayotarajiwa kuwasilishwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ihKt2Jx5hc*jbbCohrQ575vg-1xj5Umb7uHSbZvurm7HrVVCETd2huJjsDJZAHvfKko2nag-OZvraSWPbHqQUzP/Kikwete.jpg?width=640)
MISWADA 9 YASAINIWA NA RAIS
10 years ago
Habarileo28 Mar
Miswada sheria za habari yaondolewa
MISWADA miwili ya sheria inayohusu sekta ya habari iliyokuwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini hapa chini ya hati ya dharura, imeondolewa.
10 years ago
Habarileo28 Dec
‘Wananchi toeni maoni ya miswada
WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.
10 years ago
Vijimambo21 May
JK: Nitasaini miswada ya habari kabla ya Bunge la 20.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JKM-21May2015.jpg)
Rais Jakaya Kikwete, amesema atahakikisha anasaini miswada miwili ya habari kabla ya kumalizika kwa mkutano wa 20 wa Bunge la Bajeti unaendelea.
Miswada hiyo ni wa sheria ya kupata habari na wa sheria ya vyombo vya habari huku.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa kimataifa kuhusu uwajibikaji na uwazi katika serikali, jana jijini Dar es Salaam.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo mbele ya washiriki wa mkutano huo takribani 200 kutoka nchi 65 ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi28 Mar
BUNGENI: Serikali yaichomoa miswada ya habari
10 years ago
Habarileo14 May
Shein asaini miswada mitatu ya sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.
10 years ago
Mtanzania28 May
Kikwete:Tutaongeza siku 10 za miswada bungeni
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali inafanya mazungumzo na Ofisi ya Spika wa Bunge kuongeza siku 10 za kuwasilisha miswada mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa juzi mkoani hapa alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ambao ulikuwa pamoja na uchaguzi wa nafasi za juu za chama hicho.
Akizungumza katika mkutano huo ulikuwa na wajumbe zaidi ya 1,200 ambako mke wake Salma Kikwete pia alihudhuria, Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga walimu hao.
Katika...
10 years ago
Habarileo22 Oct
Miswada saba yasainiwa kuwa sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewaambia wajumbe wa baraza hilo kwamba tayari Rais Ali Mohamed Shein ametia saini miswada 7 kuwa sheria kamili.
10 years ago
Habarileo17 Jun
Miswada 7 mipya ya sheria yatua bungeni
SERIKALI imewasilisha bungeni miswada sita mipya ambayo imesomwa jana kwa mara ya kwanza.