Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Nitasaini miswada ya habari kabla ya Bunge la 20.

Rais Jakaya Kikwete
Rais Jakaya Kikwete, amesema atahakikisha anasaini miswada miwili ya habari kabla ya kumalizika kwa mkutano wa 20 wa Bunge la Bajeti unaendelea.

Miswada hiyo ni wa sheria ya kupata habari na wa sheria ya vyombo vya habari huku.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa kimataifa kuhusu uwajibikaji na uwazi katika serikali, jana jijini Dar es Salaam.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo mbele ya washiriki wa mkutano huo takribani 200 kutoka nchi 65 ambazo ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bunge likatae miswada inayominya uhuru wa habari

Serikali juzi iliwasilisha bungeni Muswada wa Sheria unaotishia uhuru wa vyombo vya habari, lakini ikauchomoa baadaye jioni baada ya kugundua kwamba umestukiwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Miswada sheria za habari yaondolewa

MISWADA miwili ya sheria inayohusu sekta ya habari iliyokuwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini hapa chini ya hati ya dharura, imeondolewa.

 

10 years ago

Mwananchi

BUNGENI: Serikali yaichomoa miswada ya habari

>Juhudi za wadau wa habari kuwasilisha ombi kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakitaka miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 iwasilishwe kwa mfumo wa kawaida, zimezaa matunda baada ya Serikali kuamua kuiondoa kabisa miswada hiyo, sasa haitajadiliwa tena katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau wawasilisha maombi kuzuia miswada ya habari

Wakati miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni wiki ijayo chini ya hati ya dharura, wadau wa habari wamewasilisha ombi maalumu kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakimuomba atumie hekima zake kuishauri Serikali kuiwasilisha katika mfumo wa kawaida.

 

10 years ago

Mwananchi

Miswada miwili ya habari kuwasilishwa ‘kimafia’ bungeni

Licha ya wadau wa habari kuwasilisha ombi kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakitaka miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 iwasilishwe kwa mfumo wa kawaida, Serikali imeing’ang’ania huku ikisema itawasilishwa chini ya hati ya dharura Jumanne ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Miswada hii ya habari ni kitanzi kingine kwa CCM

Uhuru wa habari ni kati ya haki muhimu za binadamu ambazo zinatambuliwa na dunia nzima kikatiba. Watu wa habari tunaamini kwamba ‘hakuna maendeleo bila habari.’

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema yachochea wadau kupinga madudu ya miswada ya habari, mitandao

mnyikaNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka wadau wa habari na taasisi mbalimbali, zikiwemo za kimataifa kuangalia kwa makini na kujadili baadhi ya vifungu vilivyopo katika muswada wa habari ili kuishawishi serikali kutousaini kwa kuwa unalenga kubana uhuru wa vyombo vya habari nchini.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika, alisema miswada yote ya hati ya dharura, hasa ya miamala ya kielektroniki na mitandao ya jamii...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge kuongezwa kwa siku 10 kujadili miswada

Dodoma/Arusha. Bunge la Bajeti lililokuwa livunjwe Juni 27, mwaka huu litaongezwa siku 10 ili kutoa nafasi ya kujadiliwa kwa miswada takriban 10 kinyume na historia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani