Wadau wawasilisha maombi kuzuia miswada ya habari
Wakati miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni wiki ijayo chini ya hati ya dharura, wadau wa habari wamewasilisha ombi maalumu kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakimuomba atumie hekima zake kuishauri Serikali kuiwasilisha katika mfumo wa kawaida.
Mwananchi
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10