Miswada sheria za habari yaondolewa
MISWADA miwili ya sheria inayohusu sekta ya habari iliyokuwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini hapa chini ya hati ya dharura, imeondolewa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Nov
Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa
SERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.
10 years ago
Habarileo14 May
Shein asaini miswada mitatu ya sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.
10 years ago
Habarileo17 Jun
Miswada 7 mipya ya sheria yatua bungeni
SERIKALI imewasilisha bungeni miswada sita mipya ambayo imesomwa jana kwa mara ya kwanza.
10 years ago
Michuzi
JK AMWAGA WINO MISWADA MITANO YA SHERIA
Katika sherehe iliyofanyika katika Ukumbi mpya wa Ikulu, Dar Es Salaam,Rais Kikwete ameridhia Muswada wa Sheria ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada wa Uwazi na Uwajibikaji, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada...
11 years ago
Habarileo22 Oct
Miswada saba yasainiwa kuwa sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewaambia wajumbe wa baraza hilo kwamba tayari Rais Ali Mohamed Shein ametia saini miswada 7 kuwa sheria kamili.
10 years ago
StarTV28 Jan
Baadhi ya miswada ya sheria yakwama kufanyiwa kazi.
Na Joyce Mwakalinga
Dodoma.
Baadhi ya miswada ya sheria ya Serikali imekwama kufanyiwa kazi leo katika mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na sababu mbambali ikiwemo ya mahudhurio hafifu ya Wabunge.
Miswada hiyo ni pamoja na ule wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 ambao ulitakiwa kupigiwa kura pamoja na mswada wa sheria ya Takwimu wa mwaka 2013 uliokwama kutokana na kutokamilishwa kwa baadhi ya shughuli.
payday loan in arlington texas ...
10 years ago
Mwananchi28 Mar
BUNGENI: Serikali yaichomoa miswada ya habari
10 years ago
Vijimambo21 May
JK: Nitasaini miswada ya habari kabla ya Bunge la 20.

Rais Jakaya Kikwete, amesema atahakikisha anasaini miswada miwili ya habari kabla ya kumalizika kwa mkutano wa 20 wa Bunge la Bajeti unaendelea.
Miswada hiyo ni wa sheria ya kupata habari na wa sheria ya vyombo vya habari huku.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa kimataifa kuhusu uwajibikaji na uwazi katika serikali, jana jijini Dar es Salaam.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo mbele ya washiriki wa mkutano huo takribani 200 kutoka nchi 65 ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Bunge likatae miswada inayominya uhuru wa habari