Miswada saba yasainiwa kuwa sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewaambia wajumbe wa baraza hilo kwamba tayari Rais Ali Mohamed Shein ametia saini miswada 7 kuwa sheria kamili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MISWADA 9 YASAINIWA NA RAIS
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Bunge la bajeti kuanza kujadili miswada saba
10 years ago
Habarileo28 Mar
Miswada sheria za habari yaondolewa
MISWADA miwili ya sheria inayohusu sekta ya habari iliyokuwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini hapa chini ya hati ya dharura, imeondolewa.
10 years ago
Habarileo17 Jun
Miswada 7 mipya ya sheria yatua bungeni
SERIKALI imewasilisha bungeni miswada sita mipya ambayo imesomwa jana kwa mara ya kwanza.
10 years ago
Michuzi
JK AMWAGA WINO MISWADA MITANO YA SHERIA
Katika sherehe iliyofanyika katika Ukumbi mpya wa Ikulu, Dar Es Salaam,Rais Kikwete ameridhia Muswada wa Sheria ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada wa Uwazi na Uwajibikaji, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada...
10 years ago
Habarileo14 May
Shein asaini miswada mitatu ya sheria
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ameliambia Baraza la Wawakilishi kuwa, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein tayari amesaini miswada mitatu ambayo ilipitishwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika vikao viivyopita.
10 years ago
StarTV28 Jan
Baadhi ya miswada ya sheria yakwama kufanyiwa kazi.
Na Joyce Mwakalinga
Dodoma.
Baadhi ya miswada ya sheria ya Serikali imekwama kufanyiwa kazi leo katika mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na sababu mbambali ikiwemo ya mahudhurio hafifu ya Wabunge.
Miswada hiyo ni pamoja na ule wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 ambao ulitakiwa kupigiwa kura pamoja na mswada wa sheria ya Takwimu wa mwaka 2013 uliokwama kutokana na kutokamilishwa kwa baadhi ya shughuli.
payday loan in arlington texas ...
10 years ago
Vijimambo
Rais Kikwete atia saini kuridhia Miswada ya Sheria mitano hadharani Ikulu, Dar es salaam


10 years ago
Mtanzania23 Oct
CCM kuwa na vikosi saba kufunga kampeni
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza vikosi saba vitakavyofanya mikutano ya kufunga kampeni zitakazomshirikisha Rais Jakaya Kikwete katika jiji la Mwanza.
Rais Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa CCM anatarajia kuongoza kampeni hizo Mwanza katika mkutano utakaowashirikisha Mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza, Samia Hassan Suluhu.
Akitaja vikosi hivyo Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni, January Makamba alisema kikosi...