Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole

shilole-2

Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.

SHISHI-tattoo-mpya

Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.

“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.

“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani

Shilole amewathibitishia mashabiki na ‘haters’ wake kuwa mapenzi yake na Nuh Mziwanda ni ‘Unstoppable’. Staa huyo wa muziki na filamu ameonesha tattoo mpya aliyochora kifuani kwake yenye jina la mpenzi wake ‘Nuh’. Katika post yenye picha hiyo Shishi ameandika “Lv ya ukweli inaongea”. Mapenzi ya wawili hao yamekuwa yakikumbwa na dhoruba ya mara kwa mara […]

 

9 years ago

Bongo5

Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo

shishi nw

Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.

shishi nw

Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.

“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE: MPENZI WANGU NDIYE ANAYENITIBU VIZURI

Na Imelda Mtema
STAA wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungua kinywa chake na kusema mpenzi wake wa sasa, Nuh Mziwanda ndiye anayemtibu vizuri kunako ‘sita kwa sita’ japokuwa watu wengi wamekuwa wakiudharau mwili wake. Staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili bila kung’ata maneno, Shilole alisema wengi wanashindwa kujua kwamba mtu anaweza kuwa na...

 

10 years ago

CloudsFM

Linah Afunguka Tattoo Ya Mpenzi Wake

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga 'Linah' akiwa na William Bugeme 'Boss Mtoto'

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga ‘Linah’ akiwa na William Bugeme ‘Boss Mtoto’

Mwanamuziki nchini Tanzania, Asterlina Sanga ‘Linah’ amekiri mpenzi wake wa sasa William Bugeme ‘Boss mtoto’ kujichora tattoo yenye jina lake ikiwa ni muda mfupi umepita tangu kuanzishwa kwa uhusiano wao.

Amedai kuwa kwa mara ya kwanza yeye na boss mtoto walikutana kwenye mgahawa wa News Cafe na kubadilishana namba za simu ikiwa sasa ni mwezi mmoja umepita tangu waanzishe penzi hilo jipya.

William Bugema 'Boss Mtoto' akichorwa tattoo

William...

 

9 years ago

Mtanzania

Shilole achekelea kufuta tattoo ya Nuh

shshiNA CHRISTOPHER MSEKENA

DIVA matata kwenye muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema anajisikia fahari kufuta tattoo iliyokuwa na jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Akibonga na Swaggaz, Shilole alisema kwa muda mrefu alikuwa kwenye uhusiano usio na maana, lakini sasa anafurahi kujiondoa kwa Nuh na kufanikiwa ku­futa tattoo yenye jina la zilipendwa wake huyo.

“Ni maamuzi tu, huu ni mwili wangu kwahiyo wakati nilipokuwa naye niliamua kuandika jina lake na sasa nimeondoa...

 

9 years ago

GPL

SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH

Gladness Mallya
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoboa siri ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake Naftari Mlawa ‘Nuh’ akisema alifanya hivyo ili kumpa imani mwanaume huyo kuwa anampenda sana. Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shilole alisema siku zote mpenzi wake hakuwa akiamini kama anampenda, licha ya ukweli kwamba...

 

11 years ago

GPL

NUH MZIWANDA: NITAKWENDA KABURINI NA TATTOO YA SHILOLE

Nuhu Mziwanda akiwa na mpenzi wake Zuwena Mohamed 'Shilole'. Nuhu Mziwanda akiwa amejichora Tattoo yenye jina la mpenzi wake, Shilole ikiwa imeandikwa ‘ShiShiBaby’. Juzi, Nuhu Mziwanda alipost picha kwenye Instagram ikionesha Tattoo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani