Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mabeste na mpenzi wake Lisa wajichora tattoo za majina yao

Rapper Mabeste pamoja mpenzi wake Lisa Fickenscher kila mmoja amejichora tatoo ya jina la mwenzake ili kuonyesha jinsi gani wawili hao wanapenda. Kupitia Instagram, Lisa ameweka picha ya tattoo hiyo ya mpenzi wake na kuandika: What Else Do I Need In This Life?? Thanks Bae!! I Love You Every Second Of My Life Mabeste, I […]

 

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

9 years ago

Bongo5

Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole

shilole-2

Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.

SHISHI-tattoo-mpya

Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.

“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.

“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...

 

10 years ago

CloudsFM

Linah Afunguka Tattoo Ya Mpenzi Wake

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga 'Linah' akiwa na William Bugeme 'Boss Mtoto'

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga ‘Linah’ akiwa na William Bugeme ‘Boss Mtoto’

Mwanamuziki nchini Tanzania, Asterlina Sanga ‘Linah’ amekiri mpenzi wake wa sasa William Bugeme ‘Boss mtoto’ kujichora tattoo yenye jina lake ikiwa ni muda mfupi umepita tangu kuanzishwa kwa uhusiano wao.

Amedai kuwa kwa mara ya kwanza yeye na boss mtoto walikutana kwenye mgahawa wa News Cafe na kubadilishana namba za simu ikiwa sasa ni mwezi mmoja umepita tangu waanzishe penzi hilo jipya.

William Bugema 'Boss Mtoto' akichorwa tattoo

William...

 

9 years ago

Bongo5

Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show siasa

Rapper Godzilla amewaunga mkono Weusi na wasanii wengine kwa kusema kuwa hawezi kufanya show za kisiasa ili kumsupport mgombea fulani. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Zizi alisema hawezi kuuza utu wake kwa pesa. “Sasa hivi politics zimetawala, wasanii ni politics, mimi sio politics, siwezi kufanya hivyo na kitambulisho cha kura sasa […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay adai hajutii kumweka wazi mpenzi wake

Muimbaji wa Yamoto Band, Aslay amesema kumweka wazi mpenzi wake kumempunguzia usumbufu kwa kiasi kikubwa. Aslay akiwa na mpenzi wake Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alitumia njia hiyo ili kuwapunguza wasichana waliokuwa wakimnyemelea. “Unajua sisi ni public, wengi wanakuangalia kwa mtazamo tofauti, lakini kwa upande wangu uamuzi wa kumweka mpenzi wangu wazi kila mtu amjue kimenisaidia […]

 

11 years ago

CloudsFM

NUHU MZIWANDA APONDWA MTANDAONI BAADA YA KUJICHORA TATOO YENYE JINA LA SHILOLE

STAA wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda amepondwa na mashabiki wake mtandaoni baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ambaye pia ni msanii mwenziye Zuwena Mohamed’Shilole’ambapo wamemuhoji kama wakiachana atachoma tattoo hiyo kwa pasi?Msanii amepost picha hiyo ya tattoo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika…Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??...Baadhi ya mashabiki walisema kuwa…. Duuh namuonea huruma sana huyu...

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza

Rapper Mabeste ameeleza kwa urefu jinsi mke wake alivyougua kwa muda mrefu mara tu baada ya kujifungua mtoto wao wa kwanza, Kendrick. Mabeste amesema mke wake ambaye pia ndio meneja wake alizidiwa hadi ikafika wakati akahisi atampoteza. Kupitia Instagram, hivi ndivyo alivyoandika: “Wabongo hawakosi cha kusema! Okay its true my fans nime wa promise sana […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai haumii muziki kutomlipa

Rapper Mabeste amesema haumizwi kichwa na kutopata pesa kutokana na muziki wake anaoufanya sasa. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kuitengeneza kwanza brand yake mpaka afike kwenye standard nzuri. “Kutopata pesa kwenye muziki hakunifanyi kuwa na stress kwa sababu my plan si kujitengeneza ili ninapotoa ngoma nipate hapo hapo, ila mimi nimejitengeneza kwa ajili ya baadaye,” […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani