Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza
Rapper Mabeste ameeleza kwa urefu jinsi mke wake alivyougua kwa muda mrefu mara tu baada ya kujifungua mtoto wao wa kwanza, Kendrick. Mabeste amesema mke wake ambaye pia ndio meneja wake alizidiwa hadi ikafika wakati akahisi atampoteza. Kupitia Instagram, hivi ndivyo alivyoandika: “Wabongo hawakosi cha kusema! Okay its true my fans nime wa promise sana […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Oct
Mabeste kumtumia mke wake kwenye video zake zote zinazokuja
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Meneja na mke wa Mabeste, Lisa apanga kuwakutanisha mastaa wa kike kwenye mchezo wa ‘Rede’
![Lisa Mabeste](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Lisa-Mabeste-300x194.jpg)
Kama wewe ni msichana una miaka zaidi ya 25 kwa sasa na enzi za utoto wako hukuwahi kucheza mchezo wa ‘Rede’, utakuwa ulikosa starehe kubwa.
Rede ni mchezo waliokuwa wakicheza wasichana ambapo wawili hukaa huku na kule na mmoja kuwa katikati akijitahidi kuijaza chupa mchanga huku akikwepa mpira anaopondwa na wawili hao.
Meneja na mke wa rapper Mabeste, Lisa Karl Fickenscher amesema anataka kuurudisha mchezo huo kwa kuandaa tamasha litakalohusisha mastaa mbalimbali wa kike na mashabiki...
9 years ago
Bongo520 Oct
Mabeste na mpenzi wake Lisa wajichora tattoo za majina yao
9 years ago
Bongo521 Oct
Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake
10 years ago
Bongo510 Sep
Jux ataja kiwango alichotozwa na Mabeste kumwandikia wimbo wake mpya ‘Sisikii’, ni zaidi ya 1M na ameilipa
9 years ago
Bongo526 Oct
Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
9 years ago
Bongo521 Dec
Mabeste aliishi kama mtoto nyumbani kwa Dully Sykes
![Mabeste na mpenzi wake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Mabeste-na-mpenzi-wake-300x194.jpg)
Rapa Mabeste ameweka wazi jinsi msanii mkongwe kwenye muziki Dully Sykes alivyomsaidia katika wakati mgumu maishani mwake.
Mabeste ambaye yupo katika mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka katika mbuga za Manyara National Park Arusha, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa Dully ndiye Godfather kweye muziki wake.
Rapa huyo alisema kipindi chote alipokuwa anahangaika kuhusu muziki, Dully Sykes ndiye alikuwa msaada kwake, kuanzia kuvaa, kula na kulala na aliishi nyumbani kwa Dully kwa muda...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s72-c/nassawe-650x650.jpg)
PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s640/nassawe-650x650.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BYoRtrTBfuE/VdGJanEiokI/AAAAAAABUBY/B6o_uWvCK8U/s640/flavy-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qP1nRtk1ch4/VdGJdxtRjrI/AAAAAAABUCM/-NHn1jYW84Y/s640/flavy-2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA