Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
Rapper Mabeste ameanzisha semina za kuelimisha wasanii wachanga pamoja na watu wa kawaida kupitia changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki wake. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza semina hizo katika mkoa wa Morogoro. “Mimi hapa nilipofika nimeona nina mapungufu mengi ambayo yamesababisha nishindwe kufikia malengo yangu katika muda muafaka,” amesema. “Nimeona nikikaa na mtu ambaye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Aug
Mike T atoa ofa ya video 10 kwa wasanii wachanga
10 years ago
Bongo521 Dec
Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza
11 years ago
Michuzi26 Jul
MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA UMMA 'PSPF' WATOA SEMINA KWA WASANII WA BONGO MOVIE
10 years ago
GPLMABESTE: WASANII BADO NAWAHITAJI
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qnj9WuR_GCY/VPhewKYDRmI/AAAAAAAHH2Q/lj0rpbxb8CQ/s72-c/DSC_0273.jpg)
Mdau Henry Mdimu aanza harakati za kutoa somo kwa wauaji wa albino
Balozi wa Imetosha,Henry Mdimu amewataka watu wajitokeze katika harakati za kupambana na watu wenye imani potofu za kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).
Mdimu amesema uchunguzi umebaini ukosefu wa elimu kwa watu wenye imani hizo ndiyo hupelekea mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi hivyo silaha ya elimu ni sehemu kubwa ya harakati hapa nchini.
Hayo ameyasema leo wakati alipokutana na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kusema kuwa ana mpango wa kwenda kanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-aOOKcw1RQ0s/VYbIYinsSHI/AAAAAAADtCs/FjwuEiZAs8Y/s72-c/1149659_585183708212907_675930370_o.jpg)
PAUL LOOPS NA BEATSTAPE YA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA WA HIPHOP
![](http://2.bp.blogspot.com/-aOOKcw1RQ0s/VYbIYinsSHI/AAAAAAADtCs/FjwuEiZAs8Y/s640/1149659_585183708212907_675930370_o.jpg)
kimziki wananiita Paul oops ...have been working at b records material tabata segerea na chizn brain,... nishafanya beats na couple of artists wakubwa humu nchini, moja ngoma ambayo zimefanya vizuri ni no bifu ya marehemu mngwea ft tid.. na ambazo zipo kwa sasa ni pamoja na leo ya mwasiti ft godzilla na no love ya mdplant ft mrap na country boy...
Lengo la...
9 years ago
Bongo527 Nov
Wasanii wachanga kunufaika pia na uchezwaji wa nyimbo zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Baada ya Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA) pamoja na kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) kutangaza neema kwa wasanii kuanza kunufaika kwa kulipwa mirahaba itokanayo na kazi zao kuchezwa kwenye redio na TV, wasanii wachanga wameanza kuwa na hofu na mfumo huo.
muziki pesa
Akizungumza na 255 ya XXL kupitia Clouds FM, Afisa Mtendaji Mkuu COSOTA, Doreen Anthony alisema kila kazi ya msanii itakayosikika itatakiwa kulipiwa.
“Kwetu sisi...
10 years ago
Bongo511 Mar
Dokta Mwaka kuja na semina ya afya kwaajili ya wasanii na vijana kwa ujumla