Dokta Mwaka kuja na semina ya afya kwaajili ya wasanii na vijana kwa ujumla
Daktari wa masuaa ya afya ya uzazi na mengine, Dr. Mwaka ameandaa semina maalumu ya kutoa elimu ya afya kwa ajili ya wasanii na vijana nchini, ikiwa na lengo la kutoa elimu ya uzazi kwa vijana. Dr Mwaka na Mkurugenzi Mkuu wa THT, Ruge Mutahaba wakiongea na waandishi Dr Mwaka akiongea na waandishi wa habari […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BPzEgu-OamY/UwNoz73VaRI/AAAAAAAFN0M/fCO0jz3mJ8E/s72-c/unnamedN.jpg)
SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVI KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BPzEgu-OamY/UwNoz73VaRI/AAAAAAAFN0M/fCO0jz3mJ8E/s1600/unnamedN.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e8mtrFbB4GQ/UwNo1XznPHI/AAAAAAAFN0U/AYo2fG5FOAI/s1600/unnamedV.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNGmA95gwFG9w3zgMXAEjI0*vSd7pBHdpWtfxfRvzfLHWwJpXEuukF7zvGaMy4S8TL9RuZRyt7vMsMOijPvwg17/1.jpg?width=650)
THT, DK. MWAKA WAJA NA MPANGO WA AFYA YA WASANII
Mkurugenzi Mkuu wa THT, Ruge Mutahaba, akielezea namna kituo hicho kilivyojipanga kutoa elimu ya afya kwa wasanii Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akizungumza neno kwa niaba ya vijana na wasanii juu ya mpango wa elimu ya afya unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni…
9 years ago
Bongo522 Oct
Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!
Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]
10 years ago
Bongo514 Jan
Wizkid kuja Tanzania mwaka huu kwa mara ya kwanza
Mashabiki wa msanii kutoka Nigeria, Wizkid watarajie kumshuhudia staa huyo juu ya jukwaa la nyumbani. Wizkid anatarajia kuja Tanzania mwaka huu (2015) kwa mara ya kwanza. Wizkid Mwimbaji huyo wa ‘Show You The Money’ ameweka ratiba ya shows anazotarajia kuzifanya na Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo ziko kwenye ratiba hiyo. “Gambia ,London ,Tanzania ,Kenya, […]
11 years ago
Michuzi26 Jul
MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA UMMA 'PSPF' WATOA SEMINA KWA WASANII WA BONGO MOVIE
9 years ago
Bongo526 Oct
Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
Rapper Mabeste ameanzisha semina za kuelimisha wasanii wachanga pamoja na watu wa kawaida kupitia changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki wake. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza semina hizo katika mkoa wa Morogoro. “Mimi hapa nilipofika nimeona nina mapungufu mengi ambayo yamesababisha nishindwe kufikia malengo yangu katika muda muafaka,” amesema. “Nimeona nikikaa na mtu ambaye […]
10 years ago
GPLWIZARA YA AFYA YATOA SEMINA KWA WANAHABARI DAR
Mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ,Dk. Vida Makundi Mmbaga, akijibu maswali ya wanahabari.
Waandishi wakifuatilia kwa umakini.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10