Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!
Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mtangaza nia ubunge Ludewa aangukia pua nafasi ya NEC , asema hataki tena kugombea
Mkuu wa wilaya ya Ludewa, Antonia Choya akimkabidhi hati ya shukrani mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (kushoto).
Mjumbe wa mkutano huo Bw. Choya akipiga kura.
Wajumbe wakishiriki kupiga kura.
Wajumbe ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uCdnAN55a3E/default.jpg)
10 years ago
Bongo511 Mar
Dokta Mwaka kuja na semina ya afya kwaajili ya wasanii na vijana kwa ujumla
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Dk. Slaa: Tukishinda elimu itakuwa bure
![](http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2014/09/Dr-Wilbrod-Slaa.jpg)
Hata hivyo, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeichakachua sera hiyo ya Chadema iliyowekwa katika Ilani yake ya uchaguzi wa mwaka 2010 na kusema elimu ya bure inawezekana, ingawa hadi leo chama tawala kimeshindwa kutekeleza ahadi hiyo.
Alitoa kauli hiyo alipokuwa...
10 years ago
Michuzi21 Jul
MUSTAFA PANJU AJINADI KWA WANANCHI WA JIMBO LA ARUSHA ASEMA AKIPATA UBUNGE HAWATAJUTIA KAMWE
![SAM_3941](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/DVEogJAi8zB9T21HtGWMeEqgoY2cXjLxH0oXN-LMA7qhw9Kijvz-BUNfNlwEQWra1ivSn1EwbGWl4syRpkl3llKLjr-4WN-5SLjifFxdHngfd1k=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3941.jpg)
9 years ago
Bongo521 Aug
Hatimaye Diamond afanya collabo na Ne-Yo, asema itakuwa ‘hit song’
11 years ago
Bongo514 Jul
Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘itakuwa amechanyikiwa na madawa’
9 years ago
Bongo531 Oct
Wizkid asema R.Kelly alimpigia simu kumwomba kufanya naye collabo kwaajili ya album yake
![wizkidayo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/wizkidayo-94x94.png)
9 years ago
Bongo515 Dec
Dina Marious kuja na TV Show ‘Maisha Class’
![12292840_1526574470973286_395123677_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292840_1526574470973286_395123677_n-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious anatarajia kuja na kipindi chake cha TV kiitwacho, ‘Maisha Class’ kitakachokuwa kikizungumzia mambo mbalimbali ya jamii.
Mtangazaji huyo wa zamani wa Clouds FM, ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram:
Muda mrefu nimetamani kuwa na tv talk show lakini muda bado naona sasa wakati bado najiweka sawa tufanye hivi. Nimekuwa naandika sana hapa insta vitu mbali mbali vya kujengana na kukumbushana kuhusu maisha yetu ya kila siku.Haya ni...