MUSTAFA PANJU AJINADI KWA WANANCHI WA JIMBO LA ARUSHA ASEMA AKIPATA UBUNGE HAWATAJUTIA KAMWE
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akiongea katika mkutano wa hadhara katika kata mpya ya Olmoti jana ambapo wagombea 12 walipata fursa ya kujitambulisha kwa wananchi na kunadi sera zao, Mustapha panju amesema kuwa kilicho msukuma kugombea nafasi hiyo ni kuakikisha wananchi wa jimbo la arusha wanapata ridhaa ya kuwa na maendeleo ya hali ya juu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Mustafa Panju kuingia katika mbio za ubunge Arusha mjini
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake akitangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake ,akitangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya Chama cha...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mgombea Ubunge Arusha , Mustafa Panju apandikiza mbegu ya Upendo, Amani na Mshikamano
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
Mkurugenzi wa Bushback Safaris, Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya mwanachamana kwa wanahabari pamoja na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25 za kuomba kura kwa wananchama wa chama hicho,aliwataka wananchi kumchagua mwanachama...
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA UBUNGE ARUSHA ,MUSTAFA PANJU APANDIKIZA MBEGU YA UPENDO,AMANI NA MSHIKAMANO
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi
11 years ago
Michuzi07 Mar
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QYwI0YCaWKs/Vh-L6aW_IsI/AAAAAAACBvs/OocNPv2tjhI/s72-c/AMJADI.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHUMBUNI KWA TIKETI YA CCM AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA NA MAENDELEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-QYwI0YCaWKs/Vh-L6aW_IsI/AAAAAAACBvs/OocNPv2tjhI/s640/AMJADI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pImbRVzc5X8/VQxIiU_mQYI/AAAAAAAC2AA/EMpcQFswX20/s72-c/_MG_3908.jpg)
KINANA ATIKISA JIMBO LA ARUSHA MJINI,WANANCHI WAMPOKEA KWA SHANGWE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pImbRVzc5X8/VQxIiU_mQYI/AAAAAAAC2AA/EMpcQFswX20/s1600/_MG_3908.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVKqXAu42a8/VQxIe0l_q2I/AAAAAAAC1_s/PXrJ0uH1UDc/s1600/_MG_3874.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OXdu9Dn6qk/VQxIhUmfEbI/AAAAAAAC1_4/C-2wMps2VQE/s1600/_MG_3893.jpg)