THT, DK. MWAKA WAJA NA MPANGO WA AFYA YA WASANII
![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNGmA95gwFG9w3zgMXAEjI0*vSd7pBHdpWtfxfRvzfLHWwJpXEuukF7zvGaMy4S8TL9RuZRyt7vMsMOijPvwg17/1.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mkuu wa THT, Ruge Mutahaba, akielezea namna kituo hicho kilivyojipanga kutoa elimu ya afya kwa wasanii Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akizungumza neno kwa niaba ya vijana na wasanii juu ya mpango wa elimu ya afya unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Mar
Dokta Mwaka kuja na semina ya afya kwaajili ya wasanii na vijana kwa ujumla
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
MichuziMUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/bf85576d-97a1-40b8-a91d-a5ec6a2e0797.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9a9a7b86-710c-425b-9f91-b10ac71598ca.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mpango kabambe waja Mwanza, Arusha
SERIKALI imeipa kazi ya kuandaa mpango kabambe (Master Plan) wa mipango miji kampuni ya kimataifa ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore kwa ajili ya majiji ya Arusha na...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Mpango wa kulinda usalama wa maji waja
SERIKALI inaandaa mpango utakaoweka utaratibu wa usafi na usalama wa maji kuanzia kwenye chanzo hadi kwa mtumiaji, hatua ambayo itamfanya mwananchi kunywa maji ya bomba moja kwa moja bila kuchemsha.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s400/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa kuboresha usalama wa jamii nchi nzima ambao unalenga kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ambapo lengo lake ni kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--xorypAgQvI/U5mpasfc_fI/AAAAAAAAj3Q/-2y1B-iZFEU/s72-c/PIX+2.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUTANA KUANDAA MPANGO KAZI NA MPANGO WA MANUNUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/--xorypAgQvI/U5mpasfc_fI/AAAAAAAAj3Q/-2y1B-iZFEU/s1600/PIX+2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xnq7aJhGOkY/U5mpZHN5D2I/AAAAAAAAj3M/PYlxgq2Ea_o/s1600/PIX+1.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO:TAARIFA YA HALI YA UCHUMI 2019, MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA MWAKA 2020/21 ZIMEZINGATIA DHANA YA USHIRIKISHWAJI MPANA WA WADAU
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21 zimezingatia dhana ya ushirikishwaji mpana wa wadau katika hatua za uandaaji na maamuzi katika ngazi zote Serikalini.
Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma leo wakati anawasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21 ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua yamezingatia...