Mpango kabambe waja Mwanza, Arusha
SERIKALI imeipa kazi ya kuandaa mpango kabambe (Master Plan) wa mipango miji kampuni ya kimataifa ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore kwa ajili ya majiji ya Arusha na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Waziri Lukuvi azindua mpango kabambe wa mji mpya wa Kigamboni
Picha za Mji Mpya wa Kigamboni.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akihutubia wananchi wa Kigamboni katika Uzinduzi wa Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni Katika Uwanja wa Tangamano – Mnadani Vijibweni.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji, Bibi Immaculata Senje akitoa taarifa fupi ya Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni wakati wa Uzinduzi wa Mpango huo.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bibi Sophia Mjema akizungumza na wananchi wa Kigamboni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mamwDGkfLRQ/XkWAjVhR9TI/AAAAAAALdTU/0LF3FLcrJPMCr9afvzj5NBLFKkkelcTQwCLcBGAsYHQ/s72-c/94996e64-1262-4ee5-9cd3-14f4edbc14d9.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA DODOMA
Charles James, Michuzi TV
JIJI la Dodoma limetakiwa kuhakikisha linapima viwanja vyake vyote na kuzuia ujengaji holela wa makazi ya watu ili kulifanya Jiji hilo kuwa na mandhari ya kisasa kama yalivyo majiji makubwa duniani.
Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa leo jijini Dodoma wakati akizindua mpango kabambe wa Jiji la Dodoma katika hafla iliyohudhuriwa pia na Spika wa Bunge, Mawaziri na Manaibu pamoja na watendaji wengine wa Serikali.
Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe Majaliwa...
9 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AZINDUA MPANGO KABAMBE WA MJI MPYA WA KIGAMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lZpkJnhJsLw/VfaZTONw_rI/AAAAAAAH4qI/Kiiw7DR9J7s/s640/10.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Mpango wa kulinda usalama wa maji waja
SERIKALI inaandaa mpango utakaoweka utaratibu wa usafi na usalama wa maji kuanzia kwenye chanzo hadi kwa mtumiaji, hatua ambayo itamfanya mwananchi kunywa maji ya bomba moja kwa moja bila kuchemsha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNGmA95gwFG9w3zgMXAEjI0*vSd7pBHdpWtfxfRvzfLHWwJpXEuukF7zvGaMy4S8TL9RuZRyt7vMsMOijPvwg17/1.jpg?width=650)
THT, DK. MWAKA WAJA NA MPANGO WA AFYA YA WASANII
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s400/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa kuboresha usalama wa jamii nchi nzima ambao unalenga kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ambapo lengo lake ni kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5BJpgOwJcHA/Uyv3TwrB_NI/AAAAAAAFVUo/RCbj0MJxs4Y/s72-c/IMG_0561.jpg)
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA TAARIFA JUU YA UTEKELEZAJI WAKE WA MPANGO KABAMBE WA MIAKA KUMI (2014-2023).
![](http://1.bp.blogspot.com/-5BJpgOwJcHA/Uyv3TwrB_NI/AAAAAAAFVUo/RCbj0MJxs4Y/s1600/IMG_0561.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c4AaUEji2Ec/Uyv5yq6rPdI/AAAAAAAFVVI/9mePMs5BXLk/s1600/IMG_0585.jpg)