Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii

Na. Tamimu Adam – Jeshi la Polisi.
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

1 (1)

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahmani Kaniki akisalimiana na askari Polisi wa wa jeshi hilo. (Picha ya Maktaba).

Na Tamimu Adam, wa Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa
jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama 

ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ...

 

9 years ago

Michuzi

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

Na Tamimu Adam, Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.


Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mpango wa kulinda usalama wa maji waja

Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaSERIKALI inaandaa mpango utakaoweka utaratibu wa usafi na usalama wa maji kuanzia kwenye chanzo hadi kwa mtumiaji, hatua ambayo itamfanya mwananchi kunywa maji ya bomba moja kwa moja bila kuchemsha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpango kabambe waja Mwanza, Arusha

SERIKALI imeipa kazi ya kuandaa mpango kabambe (Master Plan) wa mipango miji kampuni ya kimataifa ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore kwa ajili ya majiji ya Arusha na...

 

10 years ago

GPL

THT, DK. MWAKA WAJA NA MPANGO WA AFYA YA WASANII

Mkurugenzi Mkuu wa THT, Ruge Mutahaba, akielezea namna kituo hicho kilivyojipanga kutoa elimu ya afya kwa wasanii Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akizungumza neno kwa niaba ya vijana na wasanii juu ya mpango wa elimu ya afya unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni…

 

10 years ago

Mwananchi

Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata

Maendeleo hayaji bila hamasa na motisha. Ili shule za sekondari za kata zifanye vizuri katika taaluma kama ilivyo kwa shule binafsi, wadau wa shule hizo na jamii kwa jumla haina budi kubuni mikakati ya kukuza ari ya kufundisha na kujifunza shuleni.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI

 Na Mwandishi Wetu,SERIKALI ya Tanzania imeelezea utayari wake wa kupiga jeki na kuwajumuisha wafanyakazi wa afya ya jamii katika nguvukazi ya sekta ya afya (national health workforce) ya taifa ili kuboresha afya ya jamii hususani katika maeneo ya vijijini.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...

 

9 years ago

Michuzi

PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meneja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia waliosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

9 years ago

Dewji Blog

PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani