Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata

Maendeleo hayaji bila hamasa na motisha. Ili shule za sekondari za kata zifanye vizuri katika taaluma kama ilivyo kwa shule binafsi, wadau wa shule hizo na jamii kwa jumla haina budi kubuni mikakati ya kukuza ari ya kufundisha na kujifunza shuleni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI NA ZINAZOISHI MAZINGIRA HATARISHI UNAORATIBIWA NA TASAF YAIMARISHA MAHUDHURIO YA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI

 Afisa Habari wa TASAF (mwenye T-SHIRT NYEUPE) Estom Sanga akizungumza na mmoja wa wanafunzi ambao kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini.   Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mcharo ambao kaya zao zimo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini wilayani Bunda mkoani Mara.   Samweli George na Anna George ambao wanatoka katika kaya inayonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini wakiwa makini kuelekea shuleni.    Wanafunzi wa shule ya msingi Mcharo Baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpango kabambe waja Mwanza, Arusha

SERIKALI imeipa kazi ya kuandaa mpango kabambe (Master Plan) wa mipango miji kampuni ya kimataifa ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore kwa ajili ya majiji ya Arusha na...

 

10 years ago

Habarileo

Mpango wa kulinda usalama wa maji waja

Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaSERIKALI inaandaa mpango utakaoweka utaratibu wa usafi na usalama wa maji kuanzia kwenye chanzo hadi kwa mtumiaji, hatua ambayo itamfanya mwananchi kunywa maji ya bomba moja kwa moja bila kuchemsha.

 

10 years ago

GPL

THT, DK. MWAKA WAJA NA MPANGO WA AFYA YA WASANII

Mkurugenzi Mkuu wa THT, Ruge Mutahaba, akielezea namna kituo hicho kilivyojipanga kutoa elimu ya afya kwa wasanii Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akizungumza neno kwa niaba ya vijana na wasanii juu ya mpango wa elimu ya afya unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni…

 

9 years ago

Michuzi

Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii

Na. Tamimu Adam – Jeshi la Polisi.
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WAJA kusomesha wanafunzi 20

TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.

Mgeni Rasmi Balozi Kassimu Mwawado, akikata utepe ili kufungua Ofisi ya walimu wa shule ya msingi Muhimbili, iliyokarabatiwa na kuweka viti 29 na meza 8 na wanafuzi waliohitimu darasa la saba katika shule hiyo Mwaka 1988, pamoja na kiti na meza ya kisasa katika ofisi ya Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo katika hafra fupi iliyoandaliwa na wanafunzi hao ikiwa imehudhuliwa na walimu wa shule hiyo wa tangu mwaka 1978. Walimu wa Shule ya Msingi Muhimbili wakifurahia kupewa viti vipya pamoja na meza na...

 

9 years ago

CCM Blog

SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI


 Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani