WAJA kusomesha wanafunzi 20
TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Compassion kusomesha wanafunzi 70,000
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 41 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 katika shule na vyuo mbalimbali ndani...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi
WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Taasisi ya Mkapa kusomesha wanafunzi 890
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata
9 years ago
CCM Blog
SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...
11 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mkombozi Benki kusomesha yatima
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Mkombozi nchini imesema kuwa mchango wa kifedha wanazopata katika shughuli za kijamii umekuwa wakimafanikio makubwa hasa kupitia uwekezaji wa sekta ya elimu Nchini, kwani hali hiyo inachangia kwa kasi maendeleo ya Taifa kwa kuwa na wataalamu wa Nyanja mbalimbali wenye uwezo mkubwa.
Taasisi za kifeda kama mabenki wamekuwa ni wadau wakubwa wa mchango huo, hivi ...
10 years ago
Habarileo13 Jun
wawakilishiSMZ kuendelea kusomesha wataalamu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea na kazi ya kusomesha wataalamu katika Sekta ya Kilimo nchini kwa lengo la kuhakikisha kwamba kilimo kinapiga hatua kubwa na kuwa ndio tegemeo la taifa.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Raha ya kusomesha mtoto wa kike
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112
Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya wa shirika la...