Raha ya kusomesha mtoto wa kike
Mzazi na mkazi wa Ubungo, Juma Mkopi anatamani angejaaliwa kupata watoto wa kike pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
10 years ago
Vijimambo06 Aug
Zari ajifungua mtoto wa kike
![MTOTO WA ZARI](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MTOTO-WA-ZARI.jpg)
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.
Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...
10 years ago
GPLMKWERE APATA MTOTO WA KIKE
Mtoto wa Komediani maarufu nchini, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ aliyepewa jina la Shamsa Hemedi Maliyaga. Chande abdallah MSANII wa komedi anayeuza sura kupitia Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa katika Kituo cha Televisheni cha ITV, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ amefunguka kuwa anajivunia kupata mtoto wa kike baada ya mkewe kujifungua hivi karibuni.
 Mke wa Mkwere na watoto wake, Shamsa na Kamira...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49bJSFJ4sRTAf8OGIJoAOZeQA1iw38wShuSVD-4zJ8wV8nnWYeuypM0NrbWr-i6f4ev4yI2RIV8gnSx7bKsDK4Ge/sandra.jpg?width=650)
SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE
Waandishi wetu
STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini `Sandra’ ambaye alijichimbia kwa kipindi kirefu baada ya kunasa ujauzito, amebahatika kujifungua mtoto wa kike katika Hospitali ya Santaz iliyopo maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Siku chache zilizopita. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I4XDCX
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EjY-cw6rPzElGPsiTCNnBWpqwdNTV3RSRkkXHea5DfCXf1mXO0JPXfc3b*Mextn7epasWNUFkOlq*3njkQ6yAk*/AUNTTY134.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
Staa wa filamu nchini, Aunt Ezekiel. Imelda Mtema, Dar es Salaam
STAA wa filamu nchini, Aunt Ezekiel amebahatika kupata mtoto wa kike kwa kujifungua salama, jana mchana katika hospitali binafsi iliyopo Mbezi jijini Dar, baada ya kufanyiwa upasuaji. Akizungumza huku akiwa mwenye furaha, Aunt alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kila jambo kwa kuwa yeye ndiye muweza na aliyefanikisha safari yake hiyo salama, hivyo anamshukuru...
10 years ago
Bongo518 Aug
Christina Aguilera ajifungua mtoto wa kike
Christina Aguilera na mchumba wake Matt Rutler wamepata mtoto wao wa kwanza kama couple, baada ya mwimbaji huyo kujifungua mtoto wa kike Jumamosi (Agosti 16), US Weekly wamethibitisha. Mshindi huyo wa Grammy mwenye miaka 33 amejifungua kwa njia ya upasuaji katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center iliyoko Los Angeles. Huyu ni mtoto wa pili kwa […]
11 years ago
GPLLIL KIM AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
Mwanamuziki Lil Kim. MWANAMUZIKI Lil Kim amejifungua mtoto wake wa kwanza ambaye ni wa kike na kumuita jina Royal Reign. Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 39 alijifungua mtoto huyo katika Kituo cha Afya kilichopo Chuo Kikuu cha Hackensack, New Jersey. Kim hajaweka wazi kuhusu baba wa mtoto huyo, japo inadaiwa ni rappa wa New York aitwaye Mr. Papers. ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWOQyje3BpwpUgSkPurpoOWUxYzxLEYMtk2a-ftsmPQ1UyRzQT8OzFkb1Zz53R-0pNW-pz5MsoUjV0ndYa62GmHp/11098377_1412805635702978_1854371883_n.jpg)
HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi. MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti na wafanyavyo mastaa wengine. Mtandao huu tunampa hongera… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania