MKWERE APATA MTOTO WA KIKE
Mtoto wa Komediani maarufu nchini, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ aliyepewa jina la Shamsa Hemedi Maliyaga. Chande abdallah MSANII wa komedi anayeuza sura kupitia Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa katika Kituo cha Televisheni cha ITV, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ amefunguka kuwa anajivunia kupata mtoto wa kike baada ya mkewe kujifungua hivi karibuni.  Mke wa Mkwere na watoto wake, Shamsa na Kamira...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Fid Q apata mtoto wa kike, Fidelie
9 years ago
Bongo511 Dec
Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!
![Semenya 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Semenya-1-300x194.jpg)
Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.
Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.
Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.
Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Mtoto apata mtoto Paraguay.
10 years ago
Vijimambo06 Aug
Zari ajifungua mtoto wa kike
![MTOTO WA ZARI](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MTOTO-WA-ZARI.jpg)
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.
Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Raha ya kusomesha mtoto wa kike
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWOQyje3BpwpUgSkPurpoOWUxYzxLEYMtk2a-ftsmPQ1UyRzQT8OzFkb1Zz53R-0pNW-pz5MsoUjV0ndYa62GmHp/11098377_1412805635702978_1854371883_n.jpg)
HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE