Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!
Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.
Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.
Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.
Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 May
5 years ago
BBC14 Mar
Caster Semenya says she is 'supernatural' as she targets Olympic 200m
Two-time Olympic 800m champion Caster Semenya says she is "supernatural" as she confidently targets the 200m at Tokyo 2020.
9 years ago
Michuzi29 Nov
MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI
![DSC_4663](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_4663.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 May
Mwanariadha wa kike achumbia msichana
Mwanariadha maarufu wa kike nchini Afrika Kusini, Caster Semenya haishi kuandamwa na visa, wakati huu akidaiwa kwamba amejipatia mchumba wa kike.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Andy Murry apata jiko
Mwishoni mwa wiki hii, kulikuwa na shamra shamra kwa mcheza tenis maarufu ulimwenguni Andy kupata kumvika pete mpenziwe Kim.
9 years ago
Bongo526 Oct
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo. Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC — MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015 Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN. […]
10 years ago
VijimamboJULIO APATA PIGO, MDOGO WAKE AUWAWA NCHINI AFRIKA KUSINI
"Kweli alimwagiwa maji na huyo Mzimbabwe...
11 years ago
Bongo504 Aug
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
Video vixen maarufu wa Bongo Agnes Gerald maarufu zaidi kwa jina la Agnes Masogange ambaye kwa miezi kadhaa sasa amehamishia makazi yake Afrika Kusini, amebadili jina na huenda akawa raia wa huko! Kupita Instagram mrembo huyo mwenye umbo ‘matata’ alianza kwa kupost picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini kama ishara kwamba amepata uraia […]
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania