MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI
Mwanzilishi na mchapishaji wa jarida la Forbes Afrika, Bw. Rakesh Wahi ( wa pili kushoto) akikamkabidhi Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji (wa pili kulia) tuzo ya Heshima Barani Afrika "2015 Forbes Africa Person of the Year" iliyotolewa na Jarida la Forbes Afrika kwa kutambua mchango wake katika kusaidia jamii ikiwemo kutoa ajira kwa zaidi ya watu 26,000 nchini na mambo mengine yanayoigusa jamii. Wanaoshuhudia tukio hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Nov
Mo apata tuzo nyingine, adhihirisha tamaa ya kuwatumikia watanzania
Mfanyabiashara maarufu ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akitembea kwenye ‘Red Carpet’ mara baada ya kuwasili katika hotel ya Hilton Sandton jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenye hafla ya utoaji tuzo iliyoandaliwa na jarida maarufu la Forbes na kutunukiwa tuzo ya “Forbes Africa Person Of the Year 2015”.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog team
MFANYABIASHARA na mtu mwenye taasisi ya kusaidia jamii, Mohammed Dewji maarufu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/H-wnLf4hS8U/default.jpg)
VIDEO: DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO NYINGINE YA AFRIKA
![10844180_822164274545595_1778078662_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/10844180_822164274545595_1778078662_n.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji ashinda tuzo nyingine ya mjasiriamali kijana Afrika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9nPGbjmZ*b-i3fojL*rmvv0Vsp*T06zX-jcNsEjzxvLdH2r4BklDvYZWe8Nua0LB2kaDLj47tJNkMjrGEvzhIM/JK.jpg?width=650)
JK ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA KIMATAIFA, NI YA KUWA NYOTA WA DEMOKRASIA AFRIKA
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...
9 years ago
Bongo526 Oct
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
9 years ago
Bongo511 Dec
Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!
![Semenya 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Semenya-1-300x194.jpg)
Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.
Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.
Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.
Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
10 years ago
VijimamboJULIO APATA PIGO, MDOGO WAKE AUWAWA NCHINI AFRIKA KUSINI
"Kweli alimwagiwa maji na huyo Mzimbabwe...
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako