Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMwenyekiti Mtendaji wa IPP Dk Reginald Mengi apata tuzo ya juu
10 years ago
Habarileo16 Sep
Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mengi aingia fainali tuzo ya mfanyabiashara bora Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi ni miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA), kundi la Afrika Mashariki....
9 years ago
Michuzi29 Nov
MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI
Mwanzilishi na mchapishaji wa jarida la Forbes Afrika, Bw. Rakesh Wahi ( wa pili kushoto) akikamkabidhi Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji (wa pili kulia) tuzo ya Heshima Barani Afrika "2015 Forbes Africa Person of the Year" iliyotolewa na Jarida la Forbes Afrika kwa kutambua mchango wake katika kusaidia jamii ikiwemo kutoa ajira kwa zaidi ya watu 26,000 nchini na mambo mengine yanayoigusa jamii. Wanaoshuhudia tukio hilo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Vijana kumpa tuzo Mengi
VIJANA 2,120 nchini wanatarajia kutoa tuzo kwa Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, kutokana na mchango wake kwa watu wenye ulemavu na uzalendo kwa taifa. Ahadi hiyo imetolewa...
10 years ago
KwanzaJamii23 Sep
Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi
10 years ago
Habarileo11 Oct
Malala apata Tuzo ya Nobel
RAIA wa Pakistan, Malala Yousafzai na wa India, Kailash Satyarthi kwa pamoja leo wametunukiwa Tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel kwa juhudi zao za kupambana na ukandamizaji wa vijana na kutetea haki ya watoto kusoma.
11 years ago
Habarileo29 May
Mwandishi HabariLeo apata tuzo ya TANAPA
MWANDISHI wa HabariLeo, Iringa, Frank Leonard ametwaa tuzo ya kuandika vizuri habari za utalii wa ndani. Frank amekuwa mshindi wa pili kwa upande wa magazeti.
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Rais Namibia apata Tuzo ya Mo Ibrahim
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS anayemaliza muda wake nchini Namibia, Hifikepunye Pohamba, ameshinda tuzo ya Mo Ibrahim inayotolewa kwa kiongozi wa Afrika aliyeonyesha uongozi bora.
Tuzo hiyo yenye thamani ya dola za Marekani milioni tano (sawa na Sh bilioni 9.2 za Tanzania) ni kubwa zaidi duniani kutolewa kwa mtu mmoja mmoja.
Fedha hizo hutolewa kila mwaka kwa kiongozi wa kuchaguliwa aliyetawala vizuri kwa kuinua viwango vya maisha ya raia wake na kisha kuondoka madarakani kwa...