Vijana kumpa tuzo Mengi
VIJANA 2,120 nchini wanatarajia kutoa tuzo kwa Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, kutokana na mchango wake kwa watu wenye ulemavu na uzalendo kwa taifa. Ahadi hiyo imetolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBUNGE LATAKA SERIKALI KUMPA TUZO YA UPANDAJI MITI RC WA TABORA
Walisema kuwa ushiriki wake moja kwa moja na uhamasishaji wake katika jamii kuanzia Shule za Msingi hadi Vyuo Vikuu umesaidia kujenga uelewa wa umuhimu wa upandaji na utunzaji miti katika eneo hilo.
Mjumbe Kamati hiyo ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kaliua Magdalena Sakaya alisema juhudi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kumqWnJW1Jg/XvS44edrHJI/AAAAAAALvbg/VFZ1BpeWgn8bv438N1jRymxQHo1I3iHqwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
PROF.NYAGORI ASHAURI TAASISI ZA AFYA KUMPA TUZO RAIS MAGUFULI KUTOKANA NA MAPAMBANO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kumqWnJW1Jg/XvS44edrHJI/AAAAAAALvbg/VFZ1BpeWgn8bv438N1jRymxQHo1I3iHqwCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
DAKTARI Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Ndani na Moyo, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ambaye pia ni Mhadhiri wa vyuo vikuu mbali mbali vya tiba, Profesa Harun Nyagori ameshauri taasisi za vyuo vikuu vya Afya nchini Tanzania, pamoja na Shirika la Afya Duniani (WHO), kumpatia tuzo maalumu ya heshima, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kwa ajili ya kutambua mchango wake katika kupambana na janga la Corona.
Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo16 Sep
Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.
10 years ago
KwanzaJamii23 Sep
Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mengi aingia fainali tuzo ya mfanyabiashara bora Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi ni miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA), kundi la Afrika Mashariki....
10 years ago
Mtanzania28 May
Dk. Mengi: Serikali iache kuwashusha thamani vijana
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi ameitaka Serikali kuacha kuwashusha thamani vijana kuwa hawawezi kufanya jambo lolote.
Alisema badala yake itekeleze sera ya uwezeshaji kwa vitendo kama njia ya kuwakwamua katika lindi la umaskini.
Mengi alikuwa akizindua mradi wa ‘Airtel Fursa’ Dar es Salaam jana, ambao unaendeshwa na kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania kuwasaidia vijana kukuza na kuanzisha biashara.
Alisema vijana wengi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NJheMuxpr_4/UxcAQmFdRDI/AAAAAAAFRME/GE8lj40YZcQ/s72-c/unnamedz.jpg)
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dk Reginald Mengi apata tuzo ya juu
![](http://3.bp.blogspot.com/-NJheMuxpr_4/UxcAQmFdRDI/AAAAAAAFRME/GE8lj40YZcQ/s1600/unnamedz.jpg)
10 years ago
MichuziUDSM YAWATUNUKIA TUZO DR. MENGI, MILLARD AYO, SHERIA NGOWI, DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE