Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ameibuka mshindi wa tuzo mbili kwenye fainali ya shindano la kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) kundi la Afrika Mashariki. Sherehe za kutoa tuzo hizo zilifanyika jijini Nairobi, Kenya Jumamosi iliyopita. Dk. Mengi alitunukiwa Tuzo ya Mfanyabiashata Bora Afrika kwa mwaka 2014, kutoka kundi la Afrika Mashariki. Majaji wa shindano hilo pia waliamua kumtunuku...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Waziri mstaafu ashinda shindano la Mengi
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
10 years ago
MichuziMTANZANIA ASHINDA MEDALI MBILI ZA DHAHABU SWAZILAND.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Vijana kumpa tuzo Mengi
VIJANA 2,120 nchini wanatarajia kutoa tuzo kwa Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, kutokana na mchango wake kwa watu wenye ulemavu na uzalendo kwa taifa. Ahadi hiyo imetolewa...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Mkenya ashinda tuzo ya Cane
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkenya ashinda tuzo la Goldman
10 years ago
Habarileo16 Sep
Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Sam Smith ashinda tuzo Marekani