Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya ashinda tuzo ya Cane

Mkenya Okwiri Oduor ndiye mshindi wa tuzo la Caine - inayotolewa kwa waandishi maarufu zaidi wa Kiafrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya ashinda tuzo la Goldman

Phyllis Omido kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi sita waliokabidhiwa tuzo la Goldman huko Marekani, Jumatatu usiku.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dada Dj mkenya ashinda tuzo la Nollywood

Mwanadada Dj kutoka nchini Kenya, Pierra Makena ametunikiwa tuzo kwa kushiriki katika filamu moja ya kinigeria

 

10 years ago

Mwananchi

Mkenya ashinda Tuzo ya CNN Afrika

Mpigapicha wa shambulio la kigaidi katika jengo la Westgate nchini Kenya, Joseph Mathenge ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za waandishi wa habari za Afrika za CNN Multichoice, huku historia ya picha zake ikiibua simanzi na vigelegele vya ushindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya ashinda mbio za Frankfurt

Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi

Mahakama imemruhusu kubadilisha majina katika vyeti vyake vya mitihani ya elimu ya juu kutoka Andrew na kuwa Audrey.

 

11 years ago

GPL

RIHANNA ASHINDA TUZO YA MOST DESIRABLE WOMAN

Rihanna alikabidhiwa tuzo na mchekeshaji, Kevin Hart tuzo zinazojulikana kama Guys Choice Awards zilizofanyika Los Angeles. Rihanna akiwa na tuzo ya Most Desirable Woman baada ya kukabidhiwa. Wiki iliyopita baada ya Rihanna kupokea tuzo ya mitindo ya CFDA, akiwa na  kivazi kikimuonesha nusu mtupu kilikuwa gumzo kiasi cha kushambuliwa na waimbaji wa kundi la TLC kuwa anajiuza huku Jay Z akijitokeza… ...

 

10 years ago

Habarileo

Askari ashinda tuzo ya ulinzi wa faru

ASKARI daraja la pili, Malale Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ameshinda tuzo ya kila mwaka ya askari bora katika ulinzi wa faru kwa mwaka 2015 Barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sam Smith ashinda tuzo Marekani

Mwanamuziki raia wa Uingereza Sam Smith ameshinda tuzo mbili za Grammys zilizofanyika Los Angles Marekani.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi

Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ameibuka mshindi wa tuzo mbili kwenye fainali ya shindano la kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) kundi la Afrika Mashariki. Sherehe za kutoa tuzo hizo zilifanyika jijini Nairobi, Kenya Jumamosi iliyopita. Dk. Mengi alitunukiwa Tuzo ya Mfanyabiashata Bora Afrika kwa mwaka 2014, kutoka kundi la Afrika Mashariki. Majaji wa shindano hilo pia waliamua kumtunuku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani