RIHANNA ASHINDA TUZO YA MOST DESIRABLE WOMAN
![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75p6U8gDctb2CjO4VqVIRFXIaZIK8M-P*2DP9hkW-2EF13svuYAk09MbyH5U8l2mAPa7vuvqaytAMlvBwCPjXAxb/Rihannanne.jpg?width=650)
Rihanna alikabidhiwa tuzo na mchekeshaji, Kevin Hart tuzo zinazojulikana kama Guys Choice Awards zilizofanyika Los Angeles. Rihanna akiwa na tuzo ya Most Desirable Woman baada ya kukabidhiwa. Wiki iliyopita baada ya Rihanna kupokea tuzo ya mitindo ya CFDA, akiwa na kivazi kikimuonesha nusu mtupu kilikuwa gumzo kiasi cha kushambuliwa na waimbaji wa kundi la TLC kuwa anajiuza huku Jay Z akijitokeza… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
10 years ago
Bongo522 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YipF6-mI-kW693E8QnZkNVkPK*tQNsN1jhqriBPVQ4VEUQ7F6DjHLwXkMk0aeEWOOiaFje*mc50Otac*e7kSIuQ/Rihanna3.jpg?width=533)
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkenya ashinda tuzo la Goldman
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Mkenya ashinda tuzo ya Cane
10 years ago
KwanzaJamii23 Sep
Dk. Mengi ashinda tuzo mbili Nairobi
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mwigizaji wa Bongo ashinda tuzo Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.
Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
“Daah mpaka nimetokwa na machozi, sijui niseme nini ila kikubwa namshukuru Mungu na Watanzania wote kwa...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Askari ashinda tuzo ya ulinzi wa faru
ASKARI daraja la pili, Malale Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ameshinda tuzo ya kila mwaka ya askari bora katika ulinzi wa faru kwa mwaka 2015 Barani Afrika.